Masaba Misso Maduhu
Member
- Aug 29, 2019
- 59
- 57
Mambo vipi wakuu?
Mimi niko na simu yangu Tecno Camon CX toka 2017, sasa tatizo limekuja baada ya kumuazima jamaa yangu hii simu na kunirejeshea ikiwa haichaji kwa haraka kama mwanzo. Hapo awali nilikuwa nachaji masaa mawili na nusu 0-100% lakini sasa inahitaji masaa 8 kujaa.
Sasa ndio nimeandika kuomba kujuzwa tatizo litakuwa ni nini wakuu?
Mimi niko na simu yangu Tecno Camon CX toka 2017, sasa tatizo limekuja baada ya kumuazima jamaa yangu hii simu na kunirejeshea ikiwa haichaji kwa haraka kama mwanzo. Hapo awali nilikuwa nachaji masaa mawili na nusu 0-100% lakini sasa inahitaji masaa 8 kujaa.
Sasa ndio nimeandika kuomba kujuzwa tatizo litakuwa ni nini wakuu?