Richmoto Kushmoto
JF-Expert Member
- Jan 18, 2021
- 549
- 561
Kama ww ni mpenzi wa car racing na stunt basi hii movie ya mwendelezo wa fast and fuirous inakufaa
Han hakuwa amekufa amerudi tena kifo chake kilikuwa kimetengenezwa na mr nobody ili afanye kazi yake vizuri pasipo buguza huko tokyo na hukohuko anafanikiwa kumuokoa binti anamlea mpaka anakua
Yaani kuna bibi mwizi wa gari na anakimbiza gari kama mwehu na akiiba uipati [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kiingine nilichoipendea hii movie ni hawa kina dom( Vin Diesel ) na team kutumia fursa vizuri na amazing idea pale walichukua ile magnetic car wakaenda kufunga kwenye gari zao
Ila vin ile scene ulitotupa bomu pembeni ya gari na likabinuka ukaweka usukani sawa ile nimeipenda
Hii movie ni nzuri kwa upanfe wangu naipa rate ya 7/10
Nipe maoni yako mdau wangu
Han hakuwa amekufa amerudi tena kifo chake kilikuwa kimetengenezwa na mr nobody ili afanye kazi yake vizuri pasipo buguza huko tokyo na hukohuko anafanikiwa kumuokoa binti anamlea mpaka anakua
Yaani kuna bibi mwizi wa gari na anakimbiza gari kama mwehu na akiiba uipati [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kiingine nilichoipendea hii movie ni hawa kina dom( Vin Diesel ) na team kutumia fursa vizuri na amazing idea pale walichukua ile magnetic car wakaenda kufunga kwenye gari zao
Ila vin ile scene ulitotupa bomu pembeni ya gari na likabinuka ukaweka usukani sawa ile nimeipenda
Hii movie ni nzuri kwa upanfe wangu naipa rate ya 7/10
Nipe maoni yako mdau wangu