Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Ole wao waliomvika mnyama mtakatifu mavazi ya kimagharibi. Usishangae kusikia maandamano dunia nzima kupinga kudhalilishwa kwa mnyama mtakatifu kwa kumvisha kikafiri. Alipaswa avishwe hijab kama siyo niqab. Natania hata hivyo.
kuacha mungu mwenye enzi,huyu ndie mungu anayetawala na kuiharibu dunia kwa sasa.pesa oooo pesa eeeeh
Dunia yangu hii ...................
nyani ngabu anamsuka mkewe.
hawa walipigana kabla ya kulala nini mbona midomo imevimba kama wamepokea kichapo.
Usingiz ukikushika hauna adabu...................