Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,325
- 152,136
Mjadala wa Faru John unaendelea star tv ila kinachoonekana ni wataalamu kutoka wizara ya maliasili kushinwa kujibu baadhi ya maswali na kutowaridhisha watangazaji na hivyo kuleta mabishano kidogo hapo studio.
Watangazaji wanataka takwimu huku wataalumu wakisiti kuzitoa.
MADA:Je,ukweli wa Faru John ni upi?
Fuatilieni mjadala
Watangazaji wanataka takwimu huku wataalumu wakisiti kuzitoa.
MADA:Je,ukweli wa Faru John ni upi?
Fuatilieni mjadala