Ni ngumu sana kuitetea serikali ya awamu ya 5...ni ngumu sana.. dr chegeni anatamani kuikana awamu ya 5 lkn ndo hivoHuyu Chegeni anapata tabu sana..
Hizo "porojo" zinafaa kujibiwa a ushahidi uliopo; vinginevyo na wao watakuwa wanapiga porojo tu.Dk. Chegeni anasema zile kauli za JPM kuhusu mkataba wa bagamoyo zilikuwa porojo tu.
Sahihi kabisa pia Heche amemwambia waweke wazi huo mkataba ili wananchi wajue ukweli ni upi.Hizo "porojo" zinafaa kujibiwa a ushahidi uliopo; vinginevyo na wao watakuwa wanapiga porojo tu.
Waweke wazi kilichokuwepo ambacho Magufuli alikipigia porojo, hapo ushahidi utakuwa umekamilika..
Magufuli ni wa kukana kazi zake zote na fahari zake zote kama Shetani.Nafurahi sana CCM wanavyomkana Magufuli
kazi ngumu sanaInahitaji kujitoa ufahamu kuitetea CCM.
Na lile jiwe la msingi aliloenda kuliseka JK ni la shule au, tatizo hamfatilii mamboMagufuli alizoea kuishi kwa uongo.