Hawa jamaa sijui vipi inajulikana kabisa kwamba mwenye kisu kikali ndio anakula nyama hiyo sheria ya dunia halafu wao wanataka kuzuia. Halafu hao faru si wapo wachache kwanini walimzuia kuongea wenzakeHalafu sio muuaji wala hawanyang'anyi chakula anawanyang'anya mademu sasa wao wahifadhi kinachowauma wahifadhi nini?
Ameacha mbegu, watoto kumi.Sasa inakuwaje john hakuwa na watoto au hapigi mechi.yeye ni ubabe tu.
ThanxKwa mweusi ni miaka 35-50 na johnny alikuwa na miaka 35