Wawe na umri wa miaka 3 hadi 3.5, wale wa rangi ya brown, wakiwa wamepewa mafunzo watafaa zaidi, ikiwa unao ama unajua wanapoweza kupatikana hapahapa Tanzania tafadhali nijulishe, kwa pm bei, na namna ya kuwapata, Best regards.
Thanx very much 4 the updates Don Mangi, ill do it, na ukipata izo contacts nirushie Meku.