Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,374
- 3,395
Na mwombea farao ang'amue ya kwamba kiburi,dharau,na upuuzi wake si bule Wala wa kujitakia
Bali Kuna nguvu isiyo ya kawaida nguvu ipitayo nguvu zoote
inayo msukuma farao kufanya hivyo kwa makusudi ili maandiko ya shekhe yahaya yatimie.
Ingekuwa vema farao Ange kubaliana na matokeo kwamba
SASA NI WAKATI WA YULE MFUNGWA WAKE KUWA MFALME WAKE ..
hiyo Inge kuwa afadhari yake kwa kesho yake
..Mda ulio Baki ni mchache Sana ,,
Bali Kuna nguvu isiyo ya kawaida nguvu ipitayo nguvu zoote
inayo msukuma farao kufanya hivyo kwa makusudi ili maandiko ya shekhe yahaya yatimie.
Ingekuwa vema farao Ange kubaliana na matokeo kwamba
SASA NI WAKATI WA YULE MFUNGWA WAKE KUWA MFALME WAKE ..
hiyo Inge kuwa afadhari yake kwa kesho yake
..Mda ulio Baki ni mchache Sana ,,