Fao la kujitoa lafutwa rasmi

Hv hawa watu wanaakili timamu kabisa?hawaoni rate za retrenchement makazini hasa private sector wanataka watu wakaishije?mnasema wajiajiri watajiajiri vp wkt pesa zao walizozihangaikia mwezi mzima mmezifungia.
Magu akija anasema safi zifungieni tu watu walikua wanatumia hovyo hovyo dohhhhh tumepatikana jmn
 
Sasa sie wafanyakazi inatubidi tutii heshima kwa waajiri wetu,yaani tuwanyenyekee
 
wabunge wawatetee wananchi. Unemployment benefit kama ndio wanamaanisha iwe replaced na bima ya afya sio sawa...
 
Namba namba namba, aliyetutungia huu wimbo yeye alishasoma namba, akatangulia mbele za haki! r.i.p
 
Wabunge wote ni vilaza. Yaani hakuna hata aliyekemea hiyo hatua? Shame on us
 
nawasihi wabunge kama mnapitia humu, hii ni issue ya dharura. nafikiri hapiti mitaani kwa wananchi wanaofanya kazi za mikataba ya muda mfupi jinsi wanavyoishi..!! laiti mngejua wala bungeni msingekaa. watu wanahangaika kwenda kutafuta mikopo ya riba kubwa kwa mtaji mdogo usioeleweka, watu wanatelekeza familia zao. wake wanaacha familia zao kwenda kufanya uzinzi kupata kipato cha kuhudumia watoto, baba hayupo anahangaikia ajira. kwa nini wasipewe hela yao wakahangaikia biashara ndogo ndogo ? wakati mzazi mwingine anahangaika kutafuta ajira ?
nawasihi wabunge mliangalie hili kwa mapana.
 
Hawa jamaa wanatugeuza geuza tu kama samaki, hawajapanga cha kuwafanyia wenye vyeti feki wakati umewaondoa watu kwenye mshahara, sasa wataishije na nguvu zao zilitumika kujenga Taifa na maisha yao!? Wawarudishe kwanza hatua zikikamilika ndipo wawaondoe otherwise huu ni ukandamizaji wa maisha ya watu
 
1😛esa za rambi rambi Kagera
2😛esaza rambi rambi Arusha
3: Pesa wa wafanyakazi fao lake aliloweka kumlinda
4: Utitiri na kodi za kupitiliza
5:Faini na makusanyo ya Trafiki
6: Kodi ya reli


Eh Mungu tuokoe na hizi dhuluma!
 
Eeeeh mungu kama upo tuokoe mbona nchi yetu tunanyanyasika hivi. Kama Vipi tufanye unavyotaka tufutike sote
 
Mimi ninavyo fahamu mbadala wa FAO la kujitoa ni unemployment benefit, sasa hii bima ya afya inakujaje tena? Naomba ufafanuzi no kama sielewi hivi!
 
Ni ppf tu au na nssf?
 
Et bima, na kama nina jubilee yangu inakuwaje sasa, basi wafanye kujiunga iwe iyari ya MTU
 
Kwa nini wanasiasa wao walipwe kila baada ya miaka mitano? si na wao wasubiri mpaka wafikishe hiyo miaka 55.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mkuu hilo sahau ukaguzi wa vyeti tu wemejitoaaaa,kama vile wao ni watumishi wa wakoloni ijekua mambo ya hela?.
 
Wanatulazimishia magonjwa? Bima ya afya itamsaidiaje MTU kujikwamua kiuchumi baada ya ajira kukoma ?wasipougua je ?tuache uhuni.kwani walikuwa na mkataba wa fedha yao kugeuzwa bima ya afya ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…