Fao la kujitoa lafutwa rasmi

Jenista aache unaa atakuwa bomba sana
Unaa sio mzur
Kairuk ..awe realistic....anadeal na maslahi za familia na zikilala njaa laana kwake

Tarehe 15/ 5 uhakiki ukiisha wenye vyeti vyao walipwe mishahara ya watu ....laa sivyo wajue wataadhibu watoto.
 
Kaka waulize TAMICO msimamo wao ni huoi kuhusu hili? Utashangaa wao pia wanasapoti hili fao kufutwa
 
Kwa hiyo wale wanaofanya kazi sekta binafsi kwa mikataba nao watasubiri miaka 50? Hii nchi ni zaidi ya maajabu..
 
Vyama vya wafanyakazi havipo kwa ajili ya maslahi ya wafanyakazi.. hovyo kabisa..
 
Kweli inaonekana sheria ilishasainiwa imebaki utekelezaji. Walitoa muda uchaguzi upite na ile pita pita ya Jaffo ilikuwa adaha.
Sasa ni utekelezaji, wafanyakzi wasiposimamia masilahi yao wategemee maumivu.
 
Hahahaha eti Lowassa na Mbowe wataisoma number!!! Ukiwa mjinga utakuwa chakula cha wanasiasa uchwara kila siku, acha Watanzania tuisome number ili kufikia 2020 akili ziwe zimerudi katika mahali pake
 
Kwa hiyo wale wanaofanya kazi sekta binafsi kwa mikataba nao watasubiri miaka 50? Hii nchi ni zaidi ya maajabu..

Mkuu na Mimi nasubiri jibu, maana naona wanatuchanganya sana sasa.
 
Kweli inaonekana sheria ilishasainiwa imebaki utekelezaji. Walitoa muda uchaguzi upite na ile pita pita ya Jaffo ilikuwa adaha.
Sasa ni utekelezaji, wafanyakzi wasiposimamia masilahi yao wategemee maumivu.
No Jaffo alikuwa anatetea kweli sema sasa hivi unajua ni Naibu Waziri hawezi kuja front tena
 
Mkuu hilo group la WhatsApp lenye kuchukua watu 250?!!!!!!
 
No Jaffo alikuwa anatetea kweli sema sasa hivi unajua ni Naibu Waziri hawezi kuja front tena
Walicheza mchezo hili ajeda isibebwe na upizani ingawa lao moja na serikali. Vikao vya chama vilishakaa na ndio maana alipata huo unaibu waziri kwa malipo hayo.
Siasa ni mchezo mtamu sana kwa unaemnufaisha ila mchungu sana kwa unaeumia.
Tunachokiona au kusikia huku juu ni just a tip of iceberg.
 
Kwa hiyo wale wanaofanya kazi sekta binafsi kwa mikataba nao watasubiri miaka 50? Hii nchi ni zaidi ya maajabu..
Mkuu unajua tabia za fisi akitazaama unavyopiga mkono abahisi utadondoka...usiwe hivyo...unafanana na kubadget hela ya deni
 
Bima ya Afya ya nini? Kwani kuna mfanyakazi ambaye anachangia mifuko hana bima ya afya? NSSF wanao fao la bima ya afya na bado wanatoa fedha baada ya ajira kwisha.Mbadala wa fao la kujitoa ni Fao la kutokuwa na ajira tu.
 
NDIO maana sitaki ajira ya serekali ya ccm. Pesa sio zao wanashindwa kufanya Yao . Watu wanashindwa jadili kuleta maendeleo , wanaangaika na kutunga sheria za kubana watu wasilipwe ela zao pindi wanapoitaji. Kiufupi ninapofanya kazi nishakubaliana na menejimenti awanikati mafao wanakupa ela zote mkononi na wao wananipa nusu ya ile a mbayo wangenilipia. Sihitaji mifuko hii kabisa!.unafanya kazi bongo kama Dubai. Unalipwa chako chote. akuna Makato. Mtu mzima unalazimishwa kutunziwa pesa! Unadhani Huna akili ya kujiongoza. Mimi ningependekeza ifutwe hii sheria. Mtu alipwe Chake chote na ajijue na future yake. Watu akatwe bima ya afya pekee tu.
 
Miaka 60 mingi sana mpaka kuja kupokea hayo mafao [emoji30] unaweza kurest in pisi bila kuonja mafao yako [emoji24]
 
Kwa nini wanasiasa wao walipwe kila baada ya miaka mitano? si na wao wasubiri mpaka wafikishe hiyo miaka 55.
Yaaani na mi nasema wale hawawezi kutetea chochote maana haijagusa maslah yao... mxiuuuuu nimekwazika sana
 
Haki nimeishia kuwaombea dua mbaya... naomba Mungu aikubali..manyanyaso gani haya... naomba yawakute japo watoto zao labda wataelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…