Mbao Tanzania
Senior Member
- May 31, 2021
- 170
- 215
- Thread starter
- #21
Vijana wanasita sitaUshauri mzuri..
Vijana wanasita sitaUshauri mzuri..
Basi watuache sisi wenye nyumba za urithi tule stareheSio wote wana nyumba za urithi sasa mkuu
Tunakumbushana tu wadau hasa vijana. Starehe na maisha...
Duniani ni mapito a.k.a njia sasa tangu lini ushakuta mtu kajenga njiani? Jamaa aashe kutushauri hvo aseeMi najua dunian tunapita wanao jua watadumu daima waendelee kujenga
Ndio maana tunashauri kujenga ni kujipa majukumu yasiyo ya lazimaDuniani ni mapito a.k.a njia sasa tangu lini ushakuta mtu kajenga njiani? Jamaa aashe kutushauri hvo asee
Ujumbe simple and clearTunakumbushana tu wadau hasa vijana. Starehe na maisha.
Fanya kazi kwa bidii, kula bata kiasi kisha tenga bajeti ya ujenzi. Hiyo ndio siri ya mchezo.
Mbao zipo, ukihitaji tutafute, tutakuuzia kwa bei rafiki utimize lengo.
Wikiendi njema!
Kujenga Ni Woga Wa MaishaBia tamu.
Mbao tamu?
Hoja Imeungwa MkonoNdio maana tunashauri kujenga ni kujipa majukumu yasiyo ya lazima
Tunatishana Sana, Kufa Kupo Ndugu ZanguHahaha kuishi ni Bahati kufa lazima
Mkuu unataka wanirushie mawe watu humuHoja Imeungwa Mkono
Walisema Ndiyo Wameshinda
Waliosema Hapana Wameshindwa
Mkuu wewe uza mbao zako tu ila mipango na matumizi ya pesa zetu tuachie wenyewe.Tunakumbushana tu wadau hasa vijana. Starehe na maisha.
Fanya kazi kwa bidii, kula bata kiasi kisha tenga bajeti ya ujenzi. Hiyo ndio siri ya mchezo.
Mbao zipo, ukihitaji tutafute, tutakuuzia kwa bei rafiki utimize lengo.
Wikiendi njema!
Ni kweli kufa kupo huwez kuwaza kuishi wakati kifo hakitoi taarifa ya kuja kukuchukuaTunatishana Sana, Kufa Kupo Ndugu Zangu
By Jiwe
Upo wap na mbaoTunakumbushana tu wadau hasa vijana. Starehe na maisha.
Fanya kazi kwa bidii, kula bata kiasi kisha tenga bajeti ya ujenzi. Hiyo ndio siri ya mchezo.
Mbao zipo, ukihitaji tutafute, tutakuuzia kwa bei rafiki utimize lengo.
Wikiendi njema!
Katisha sana hahahaTangazo nimelikubali..
Karibu sana. Huduma zetu zipo Dar es salaam.Upo wap na mbao
4*2
3*2
10*1
Bei gan kaka
Naruhusiwa kupiga simu usiku?Kalibu sna huduma zetu zipo Dar es salaam.#mbaotanzania
Mbao za futi 20
2×4 futi 750
2×2 futi 350
1×8 bei 14000
1×10 bei 17000
Mbao za futi 12
2×4 bei 5800
2×2 bei 2900
Kwa maelezo zaidi tuchek kweny namba hii 0782 425190. Kalibu sna Asante.
Karibu sanaNaruhusiwa kupiga simu usiku?