Mtoa mada unapenda sana ngono that's why umefurahia sana swala la kula uroda jokate na wafanyakazi wote ofisin,hongera sana sasa naomba uote pesa za zetu za ESCROW tumegaiwa wananchi wote japo tupike pilau majumbani kwetu...
Duh... Hii hali hata mie huwa inanitokea, nakuwa ndotoni ila naanza kumsimulia mtu ndoto niliyoiota ndani ya ndoto. Au naanza kuifikiria ndoto niliyoiota nikiwa ndoto
Hii thread huwa naipita kumbe inanihusu.. Kiukweli uliyoyasema mtoa mada kwa kias kikubwa huwa yananitokea.. Mara nyingi sana huwa naota nipo town mchana kweupe naamua kupaa hewani halafu watu wanakusanyika kunishangaa then nasepa naenda kokote nitakako. Pia niliota gari yangu imepata ajali mbaya na nikaitazama gari na kujisemea ila niko ndotoni kumbe then nasema thank God it's just a dream.. Na hayo najisemea nikiwa bado ndotoni...na mengine mengi tu huwa najiuliza hivi naota ama? Then najisemea ni ndoto tu ngoja niendelee na mambo mengine.. Ajabu sana...Ntagoogle nisome nijue aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.