Fanya lolote utakalo ndotoni-lucid dreams

Fanya lolote utakalo ndotoni-lucid dreams

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,772
Reaction score
5,847
Hii ni hadithi yangu fupi iliyonipelekea kuweza kukontrol ndoto tunazoota usiku ability itakayokufanya kupaa, vilema kutembea ndotoni, na kukabili ndoto za kutisha.

Siku moja nilikuwa nimeenda kikazi Iringa kutokea Dar, nikalala gest moja pale mjini, kiukweli siku hyo niliota ndoto ya kuogopesha. Nilikuwa naota nimelala halaf mtu wa ajabu akanishka mkono, ile hofu nkastuka nimeamka na alinishika mkono alikuwa ni ndugu yangu marehemu. kuamka nikajikuta nipo nyumbani, mimi ,baba na ndugu zangu kaka/dada, tunaendeleza maisha kama kawaida, kumbe wakati naamka niliamkia ndotoni (false awakening) na wala sikujua na sikukumbuka kama ndugu yangu alishafariki. Mda ukapita kidogo nikaamka tena mara ya pili kwenye reality. Nikaja kumbuka yule ndugu yangu alifariki , saa 8 usiku hiyo. Nililia sana mwanaume kwa masaa 3+, nilijua mzimu.

Baada ya kuona hvo kama kawaida Watanzania nikaanza tafuta majibu kwanini hiwe ivo, nikaingia google. Nikaona huku watafiti wamestate aina tofauti za ndoto na ile yangu wakaiweka ni ""dream in a dream"" yani wanadai mtu huota hii ndoto kwa ajili ya protection, wanadai ingeniathiri kisaikolojia kama ningeota marehemu kanishika mkono ambapo ningeamka nisinge mkuta, ndo mana nikaota ya pili ndo nikaamka atleast niliona ni valid.

Tuje kwenye maada kuu. Katika kutafuta majibu google, walielezea aina moja ya ndoto inaitwa "LUCID DREAM" Lucid dream ni pale unapoota ndoto na kutambua sasa upo ndotoni, wataalamu wanadai ukiweza ukaota ndoto na kugundua unaota kabla ndoto haijaisha unakuwa na uwezo wa kukontrol ndoto yani una uwezo wa kupaa kama ndege, una uwezo wa kwenda nchi yeyote, una uwezo wa kukutana na mtu yeyote, kufanya mapenz na mtu yeyote duniani, kama ni kilema utaweza kuwa na miguu na kutembea. watalamu wanadai lucid dream unaweza kujifunza/learn.

Pitieni google mjifunze zaidi, mi mungu amenisaidia kuweza kujifunza lucid dream, na ndoto nilizocontrol chache ni hizi;

1. Nimeshafanya mapenzi na msanii jokate mwigilo kupitia lucidy dream
2.nimeweza ongea na kuonana na Kikwete, Obama.
3. Nimeshapaa kama ndege
4.jana nilipambana na ndoto ya kutisha bila kuogopa.
5. Nimemiliki majumba makubwa
6. Nimetembea na mfanyakaz wa offsini kwetu, nilimwita jina tu akaja.

Yani kiufupi ni unique na amazing experience. Tafadhali pita google ukajifunze hii kitu, hata ukitaka nini unapata, chochote, una uwezo hata wa kuua adui yako, nishaua mtu kupitia huku. I hope u learn
 
Hehe yaani niwe na majumba makubwa ndotoni!!!
 
ubarinolutu

We ni balaa ushapita na celebrity hongera
 
Last edited by a moderator:
Hah hah ha weekend yangu itapendeza! ! Tupe mrejesho wa namba moja yako"ulifaidi ama urikereka kwa celeb huyo"??
 
Jamani ukipata muda google lucid dream. Haiusiani na kusali ama kushiba. Ni ndoto unique. Ugumu ni kutambua unaota ukiwa ndotoni. actualy jokate alinipa ushirikiano kama mumewe. Its very funny. Ukiwa ndotoni ukijiangalia ktk kioo unaamka, huwaga nikiwa ndoton nakwepa kuangalia vioo. Nshaaota mtu ananikimbiza nami nkaanza kukimbia, nilipogundua naota nikasima nikataja jina langu flani kuwa mkubwa sana na umshike huyo anaekukumbza kiganjani, nikawa bonge la jitu,, nkakashka mkononi nikakatupa mbal kama jiwe kale kamtu
 
ubarinolutu

Cku nyingine ukiota hiyo lucifer dream, uckwepe tu kioo, bali hakikisha umebeba virago vyako vyote uende navyo ndotoni, coz u seems to enjoy more in dreams kuliko kwenye reality
 
Last edited by a moderator:
[QUOTE=ubarinolutu

Yaani we jamaa hayo uliyoota sijui umetembea na mfanyakazi ofisini ndo kitu unakitamani
 
Anaongelea Lucid Dreams Nimeupdate Uzi Wa Kuhusu Hii Mambo Lakini Modes Wameona Sijui Watu Watajifunza Mengi.... Actually Wenzio Tukiingia Lucid Tunaenda Kuwasiliana Na Watu Wenye Elimu Za Maana Na Tricks Za Maisha Wewe Unaenda Kusex Na Office Girl (Cha Wote) Means hujui maana ya lucid dream kama una dream journal ungefaidi sana... ushauri wa bure "fanya ya maendeleo na yakujifunza" mimi pia niliwahi kufanya lucid dreams toka mwaka 2009 niliwahi kuthubutu kumbusu Celion Dion Lugha Anayoongea Mule Ilikuwa ni kifaransa lakini mimi nikimskia kwa kiswahili fasaha yani namuelewa kwa mind sio ndoto ni more than that pia mtu wa kwanza kunifundisha kiingereza ni ben carson ndotoni ushawahi kumskia huyu mtu? lakini hadi sauti yake niliiskia na kuithibitisha kutoka youtube nilishangaa sana kiukweli ukiwa ndotoni unakuwa in spirit form so nilivyomkiss huyu mwanamama nikaona lidiculous nikatafuta kioo maana ndio huaminika way out lakini hakikunitoa nikasimama nikasema hapa ni licid world naweza kufanya nitakacho bila damage yoyote sasa nahitaji nikihesabu hadi 1 from 5 natoka hapa na huu ndio ufunguo wangu kama wewe watumia kioo mimi natimia namba ila wapo pia hutumia kukapua macho kwa wingi anatoka...

thanks for your update unachotakiwa kufanya kama unamtaka huyo celebrate muote tena fanya kumseduction atarespond akikubali basi in real world atakubali akigoma dont give a try... coz ukiamrisha kwenye lucid means unacheza na ubongo wako lakini ukijiwajibisha utakipata in real world...

je wajua?

"muandishi wa movies za matrix alifanya lucid dreams na kutengeneza movie ya matrix pia lewis carroll aliandika alice in wonderland baada ya kufanya lucid....

unachotakiwa kufanya yafanye maisha ya lucid kwamba leo naishia hapa kesho nitaendelea...

"Rakims"
 
No.1 na No.6 ngoja nianze kuzifanyia mazoezi nikifanikiwa nawatafuna staff wenzangu woote....tena bila zana si niko ndotoni hamna cha ngoma wala kigodoro..:msela:
 
Anaongelea Lucid Dreams Nimeupdate Uzi Wa Kuhusu Hii Mambo Lakini Modes Wameona Sijui Watu Watajifunza Mengi.... Actually Wenzio Tukiingia Lucid Tunaenda Kuwasiliana Na Watu Wenye Elimu Za Maana Na Tricks Za Maisha Wewe Unaenda Kusex Na Office Girl (Cha Wote) Means hujui maana ya lucid dream kama una dream journal ungefaidi sana... ushauri wa bure "fanya ya maendeleo na yakujifunza" mimi pia niliwahi kufanya lucid dreams toka mwaka 2009 niliwahi kuthubutu kumbusu Celion Dion Lugha Anayoongea Mule Ilikuwa ni kifaransa lakini mimi nikimskia kwa kiswahili fasaha yani namuelewa kwa mind sio ndoto ni more than that pia mtu wa kwanza kunifundisha kiingereza ni ben carson ndotoni ushawahi kumskia huyu mtu? lakini hadi sauti yake niliiskia na kuithibitisha kutoka youtube nilishangaa sana kiukweli ukiwa ndotoni unakuwa in spirit form so nilivyomkiss huyu mwanamama nikaona lidiculous nikatafuta kioo maana ndio huaminika way out lakini hakikunitoa nikasimama nikasema hapa ni licid world naweza kufanya nitakacho bila damage yoyote sasa nahitaji nikihesabu hadi 1 from 5 natoka hapa na huu ndio ufunguo wangu kama wewe watumia kioo mimi natimia namba ila wapo pia hutumia kukapua macho kwa wingi anatoka...

thanks for your update unachotakiwa kufanya kama unamtaka huyo celebrate muote tena fanya kumseduction atarespond akikubali basi in real world atakubali akigoma dont give a try... coz ukiamrisha kwenye lucid means unacheza na ubongo wako lakini ukijiwajibisha utakipata in real world...

je wajua?

"muandishi wa movies za matrix alifanya lucid dreams na kutengeneza movie ya matrix pia lewis carroll aliandika alice in wonderland baada ya kufanya lucid....

unachotakiwa kufanya yafanye maisha ya lucid kwamba leo naishia hapa kesho nitaendelea...

"Rakims"

Natamai kufahamu zaidi mkuu
 
Ha! Masikini weee! Haki ya mama, hata mimi hunikuta hali hiyo. Yani nipo ndotoni lakini najijua kabisa kua niko ndotoni. Wakati mwingine naweza nikaota nakimbizwa kabisa (mara nyingi hua maaskari wakiwa ndani ya difenda ) Lakini nikijistukia kua niko ndotoni huwa siwaogopagi kabisa hata wawe 100. Ila hayo mengine (kukutana na watu maa rufu etc) hayajawahi kunitokea.
 
Isije kuwa hata wakati unaandika hii ulikuwa unaota!tehe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom