MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Oct 29, 2012 #1 Yaani ingekuwa bongo hapa tayari saa nyingi washakikata hicho kinanii chake
Columbus JF-Expert Member Nov 5, 2010 2,002 648 Oct 29, 2012 #2 Kama huyu jamaa yuko hai bado hiyo nchi naipa TANO!
ndenga JF-Expert Member Dec 20, 2010 1,788 1,302 Oct 29, 2012 #3 Demokrasia ikizidi sana nayo ni matatizo
Facilitator JF-Expert Member Oct 30, 2010 2,280 1,763 Oct 29, 2012 #4 Angekuwa na haja kubwa ndo ingekuwa poa.
Mwanahisa JF-Expert Member Jun 29, 2012 1,382 510 Oct 29, 2012 #5 Wapi mjomba Sele, huyu angechezea virungu mkojo kwisha!
Dodoma one JF-Expert Member Apr 23, 2012 326 29 Nov 5, 2012 #6 Mwemwemweeeeeeeeeeeeeeeeee watakuua mbona.
Buswelu JF-Expert Member Aug 16, 2007 1,998 351 Nov 6, 2012 #7 Kitu Kizito Chenye Ncha Kali Ingekuwa halali yake...Wala asingejua kimetokea upande gani..
S sawabho JF-Expert Member Feb 25, 2011 5,286 3,107 Nov 6, 2012 #8 Buswelu said: Kitu Kizito Chenye Ncha Kali Ingekuwa halali yake...Wala asingejua kimetokea upande gani.. Click to expand... Hivi ni kwa nini huwa hawasemi vitu (silaha) kwa majina yake halisi ? Risasi, rungu, panga, kisu, nondo, bomu, kofi, ngumi, kichwa !!!!!
Buswelu said: Kitu Kizito Chenye Ncha Kali Ingekuwa halali yake...Wala asingejua kimetokea upande gani.. Click to expand... Hivi ni kwa nini huwa hawasemi vitu (silaha) kwa majina yake halisi ? Risasi, rungu, panga, kisu, nondo, bomu, kofi, ngumi, kichwa !!!!!