mwananthropolojia
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 956
- 658
Do you know the secrets of the world?Unaweza kunieleza kwanini kuna baadhi ya teknolojia wanazizuia?Doomsday conspiracy, simply a myth, nobody control nobody, get back to your senses work hard and do what you get to do.
Magari yanayotumia maji na solar yamegunduliwa miaka mingi iliyopita, unaweza kuniambia kwanini mpaka leo tunatumia magari ya mafuta ambayo visima vyake vinamilikiwa na makampuni makubwa tu?
Unaweza kuniambia kwanini serikali zipo against sana na tiba za asili,umewahi kumsikia Dr.Sebi aliyegundua tiba ya magonjwa yote?Wazungu hawakuamini na walipompeleka mahakamani akawashinda kwa proof ya watu aliowatibu ambao rekodi zao zilikuwepo mahospitalini kuwa ni wagonjwa, lakini baada ya kupata matibabu kutoka kwa Dr.Sebi wakapona.Mahakama ya Marekani ilithibitisha kuwa wamepona baada ya kupata matibabu ya Dr.Sebi na kumwachia huru. kulikuwa kuna wagonjwa wa ukimwi,hepatitis,kansa,vipofu wa macho katika watu waliotibiwa na Dr.Sebi .
Je unajua kuwa walimuua baada ya kuanza kujitokeza sana kwenye media na akawa ashapata sponsors watakaomsaidia kuja kufungua research institute hapa Afrika?Na unajua kwanini Michael Jackson aliimba wimbo wa "they dont really care about us" nae hakukaa sana wakamuua kwani alikuwa mmoja wa watu waliokua wanataka kumsponsor Dr.Sebi.Unaweza kunijibu kwanini hawatangazi watu kama hao?
Unaweza kuniambia kwanini imani za kale zinapigwa vita?je unaamini hizi imani ni ushamba tu na zimepitwa na wakati.kwahiyo wanatupenda sana na lengo lao ni kutuokoa tusiende motoni?Na kama hakuna control kwanini kuweka sheria ya uchawi?si wangetuacha tu tuwe huru kufanya tunavyotaka tushi katika ushamba wetu ?
Sheria kwa definition ya elimu yetu mbadala ambayo haijafungwa kwenye system maana yake ni mipaka ya kumdhibiti mtu asifanye anavyotaka na anavyoona ni haki.Na kuna vyombo vimewekwa ili kuhakikisha unatii sheria bila shuruti mfano ni Mapolisi
Mapolisi ni nani?katika definition yetu ya elimu mbadala ambayo haijafungwa katika system, mapolisi ni kikundi cha wahuni waliopewa kibali na serikali kufanya uhuni wao ili kuhakikisha watu wanadhibitiwa wasiende kinyume na maslahi ya system ambayo ipo ndani ya sheria.
Unaweza kuniambia kwanini nchi zisizofuata siasa za capitalism zinapigwa vita?North Korea,Iran,Cuba,Venezuela ya Hugo Chavez, Zimbabwe(kisa cha Zimbabwe ni kutaka kutaifisha mali za mabepari na kuwagaia wananchi masikini,hii haiendani na capitalism) nk
Naomba uelewe vita sio lazima iwe ya kijeshi hata vya kiuchumi au kutengwa na jamii zingine nazo ni vita lengo ni kukudhibiti ili uingie kwenye control yao.
Sent using Jamii Forums mobile app