Families That Secretly Control The World

Families That Secretly Control The World

Yan kuanzia hivyo vitabu vinavyoandika juu ya dini wanavicontrol wenyewe sasa huoni hapo bado wana kucontrol..magonjwa wameyatengeneza ili kufanya biashara ya dawa. Sasa usiniulize kwamba mbona na wenyewe yanawapata utajijibu kwa sababu hata silaha hutengenezwa lakini huuwa pia watengenezaji.
Bora umeuliza na utoe na majibu,dini ziko Africa tu???.. Ama hata wazungu wana dini na wanasali,
Haya magonjwa na wao si wanaugua
What kind of kontroo iko hapo..kama na ye anakufa kama sisi anaugua kama sisi...nk..huoni unajitengenezea mauongo flani kichwani??
Trust me I tell you I am highly informed abt hizi familia mana been quite a reader tangu mtoto
Mi at around 18 haya makorokoro ya Illuminati and shit were on my finger tips..ss kuna at some point as an individual naona mnadhani mnakua controlled kumbe walaaa hamna anaekukontrooo
Eti kuna mtu akasema oh kina bill Gates cjui Zuckerberg hawana hata digrii walitaka kutoka kwny system, mehhhn B.S...kwani nani kakuzuia wewe leo kuwa college dropout uanzishe kampuni yako na ukimaliza digrii nani kakushika usifungue kampuni, nani anakukontroo hapo???.
These families don't control everything at all..Kuna mifano mnasight haina mantiki wala relationship ktk hizi familia
Kuna vitu na vitu mfano ishu ya Global population at a large scale I agree,ishu ya Roman Catholic Church, US financial systems,music and movies industry, lakini eti college drop out, mara sijui insurance, sijui syllabus na kitu gani plssss,go read ur books this things ziko ktk level kubwa sio ya kitoto toto hata u can't live ur life the way u want...nani anakukontroo to choose the job u want,the wife u want,the children u wanna have where u want to live and go,fields of interest to work on,nk si unachagua mwenyewe???
Rockefeller akikontoroo money supply Federal Bank we unakua affected vipi kwa mfano mambo mengine hatujafika huko..ur free to live ur life,kulitokea depression in the US hata wabongo sijui kama walifeel anything....
 
Ishu ni kugraduate kwani wangapi wana degree zao na wana kampuni zao na mapato yao,acheni ufamba wa kutegemea conspiracy theories wakati u have the freedom to live the life u want
Starehe nani anakukontroo kustarehe unavyotaka??
Mkopo unataka uchukueje bila utaratibu ama,bima ya afya inamsaidia nani kama sio wewe?ukipata superior medical care ni mtu anakukontrooo hapo??
Elimu si nimesoma afu naitumia mwenyewe, unataka usome syllabus yako alafu Acha shule sasa ndo uone watu watakavokukontroo vzuri
Em give me something practical mfano tangu nilivoamka leo asubuhi hadi saivi nani kanikontroo ama familia gani tajiri imenikontrooo,najikontrooo wmnyw na Mungu
Family iko US sijui UK mi inanikontroo vipi mjipange mda mwingine mnavyofikiria mambo yenu
mdau usiwe mbishi.....maarifa mengine kuhusu utendaji kazi wa mifumo ya dunia hii iliyowekwa na kikundi fulani cha binadamu wachache,ili kuelewa, inabidi tu wewe mwenyewe ujiongezee maana huwezi fundishwa na shule au chuo chochote duniani.

ulishawahi jiuliza ni nani mmiliki wa"www" (world wide web)?.
 
mdau usiwe mbishi.....maarifa mengine kuhusu utendaji kazi wa mifumo ya dunia hii iliyowekwa na kikundi fulani cha binadamu wachache,ili kuelewa, inabidi tu wewe mwenyewe ujiongezee maana huwezi fundishwa na shule au chuo chochote duniani.

ulishawahi jiuliza ni nani mmiliki wa"www" (world wide web)?.
Sometimes mnachanganya normal progress ya human civilization na familia hizi...na kuna baadhi ya vitu ni very petty wewe kuwa controlled na mtu...
Umiliki wa www obviously someone has to own it...does it control you??.mbona na me namiliki kampuni, na kuna watu wanamiliki kampuni zao nyingi tuu duniani,kubwa kwa ndogo,is that a problem ama who was supposed to own it afu on the contrary tunaona owner mwingine??
If issue ni 'content' ya information mbona people have the freedom to post whatever wherever and whenever they want n like,element ya control inakujaje hapo,kwenye content ama akili zao nani kawashikilia wkt they have free will?.contents nyingi rather zote ni user generated
Tena bora ht zamani saivi people air any content they want except tu hapa bongo kuna mtu katuambia 'watch it,not to that extent ' na ye ni familia inakontroo???
 
Sometimes mnachanganya normal progress ya human civilization na familia hizi...na kuna baadhi ya vitu ni very petty wewe kuwa controlled na mtu...
Umiliki wa www obviously someone has to own it...does it control you??.mbona na me namiliki kampuni, na kuna watu wanamiliki kampuni zao nyingi tuu duniani,kubwa kwa ndogo,is that a problem ama who was supposed to own it afu on the contrary tunaona owner mwingine??
If issue ni 'content' ya information mbona people have the freedom to post whatever wherever and whenever they want n like,element ya control inakujaje hapo,kwenye content ama akili zao nani kawashikilia wkt they have free will?.contents nyingi rather zote ni user generated
Tena bora ht zamani saivi people air any content they want except tu hapa bongo kuna mtu katuambia 'watch it,not to that extent ' na ye ni familia inakontroo???
tumia tu lugha moja ya kiswahili,kuchanganya na kingereza,ni dalili kuwa saikolojia yako ipo chini ya udhibiti wa watu weupe.au hilo nalo hulioni?.
 
tumia tu lugha moja ya kiswahili,kuchanganya na kingereza,ni dalili kuwa saikolojia yako ipo chini ya udhibiti wa watu weupe.au hilo nalo hulioni?.
Tatizo unaaacha mada at hand unaanza kudiscuss lugha nnayotumia...
Mi nmekuuliza maswali ya msingi, I can use either language fluently ishu ni kucomment sasa
Kikiwa kiingereza tupu thread watu hawaielewi,ikiwa kiswahili tu kinakosa misamiati ya kutosha, waweza nipa kiswahili cha 'conspiracy theories ' kwa kuanzia tu
Ndo mana tunatumia swanglish to get the benefit of both languages at once
 
Tatizo unaaacha mada at hand unaanza kudiscuss lugha nnayotumia...
Mi nmekuuliza maswali ya msingi, I can use either language fluently ishu ni kucomment sasa
Kikiwa kiingereza tupu thread watu hawaielewi,ikiwa kiswahili tu kinakosa misamiati ya kutosha, waweza nipa kiswahili cha 'conspiracy theories ' kwa kuanzia tu
Ndo mana tunatumia swanglish to get the benefit of both languages at once

conspiracy theories
e70d4256acf713819b48a19f4c21ced6.jpg
 
LadyRed tayari nilishabaini kuwa umejipanga kubisha kwa nguvu zote kuhusu baadhi ya mifumo hapa duniani ambayo ipo chini ya udhibiti wa familia chache sana.

ndio maana nikaona bora nichomekee vitu vingine.niwie radhi kwa kukupuuza.halikuwa kusudi langu.
 
mimi nafikiri kuna mtu hajaelewa wana control vipi;
ni sawa na kuwa kisiwani hakukuzuii kutembea,kuendesha gari ,kutokuona misitu ,kustarehe ,kuoa nk
lakini utazunguka mule mwisho utakuta maji,Utaendesha Gari mwisho utakuta maji...

yani popote utakapofurukuta mwisho wa siku utakuta maji.
ndio sawa sawa na hizo Family za hao watu, wewe utaishi utakavyo ,utafanya ufanyavyo ila mwisho wa siku utawakuta pale nnchani.

(kwauelewa wangu binafsi)
 
LadyRed tayari nilishabaini kuwa umejipanga kubisha kwa nguvu zote kuhusu baadhi ya mifumo hapa duniani ambayo ipo chini ya udhibiti wa familia chache sana.

ndio maana nikaona bora nichomekee vitu vingine.niwie radhi kwa kukupuuza.halikuwa kusudi langu.
Naona unarukaruka tu mana majibu huna
Toa clarification kwa mfano kwny hio ishu ya worldwide Web(www)... Ama kuna vitu mmekaririshwa kiasi mtu akikutwist kidogo tu huna majibu?.,
 
Bora umeuliza na utoe na majibu,dini ziko Africa tu???.. Ama hata wazungu wana dini na wanasali,
Haya magonjwa na wao si wanaugua
What kind of kontroo iko hapo..kama na ye anakufa kama sisi anaugua kama sisi...nk..huoni unajitengenezea mauongo flani kichwani??
Trust me I tell you I am highly informed abt hizi familia mana been quite a reader tangu mtoto
Mi at around 18 haya makorokoro ya Illuminati and shit were on my finger tips..ss kuna at some point as an individual naona mnadhani mnakua controlled kumbe walaaa hamna anaekukontrooo
Eti kuna mtu akasema oh kina bill Gates cjui Zuckerberg hawana hata digrii walitaka kutoka kwny system, mehhhn B.S...kwani nani kakuzuia wewe leo kuwa college dropout uanzishe kampuni yako na ukimaliza digrii nani kakushika usifungue kampuni, nani anakukontroo hapo???.
These families don't control everything at all..Kuna mifano mnasight haina mantiki wala relationship ktk hizi familia
Kuna vitu na vitu mfano ishu ya Global population at a large scale I agree,ishu ya Roman Catholic Church, US financial systems,music and movies industry, lakini eti college drop out, mara sijui insurance, sijui syllabus na kitu gani plssss,go read ur books this things ziko ktk level kubwa sio ya kitoto toto hata u can't live ur life the way u want...nani anakukontroo to choose the job u want,the wife u want,the children u wanna have where u want to live and go,fields of interest to work on,nk si unachagua mwenyewe???
Rockefeller akikontoroo money supply Federal Bank we unakua affected vipi kwa mfano mambo mengine hatujafika huko..ur free to live ur life,kulitokea depression in the US hata wabongo sijui kama walifeel anything....
Cc kadoda11, una majibu ya hapo juu kwa mfano,ama ndo utaendelea kuruka km bisi ktk kikaango hehehhe
 
Naona unarukaruka tu mana majibu huna
Toa clarification kwa mfano kwny hio ishu ya worldwide Web(www)... Ama kuna vitu mmekaririshwa kiasi mtu akikutwist kidogo tu huna majibu?.,
let's agree to disagree,there is no need of continuing to debate over an issue which no side is going accept the truth.

believe what you believe and i believe what i believe.just that and end of story.asante kwa mda wako.
 
haya mambo
Bora umeuliza na utoe na majibu,dini ziko Africa tu???.. Ama hata wazungu wana dini na wanasali,
Haya magonjwa na wao si wanaugua
What kind of kontroo iko hapo..kama na ye anakufa kama sisi anaugua kama sisi...nk..huoni unajitengenezea mauongo flani kichwani??
Trust me I tell you I am highly informed abt hizi familia mana been quite a reader tangu mtoto
Mi at around 18 haya makorokoro ya Illuminati and shit were on my finger tips..ss kuna at some point as an individual naona mnadhani mnakua controlled kumbe walaaa hamna anaekukontrooo
Eti kuna mtu akasema oh kina bill Gates cjui Zuckerberg hawana hata digrii walitaka kutoka kwny system, mehhhn B.S...kwani nani kakuzuia wewe leo kuwa college dropout uanzishe kampuni yako na ukimaliza digrii nani kakushika usifungue kampuni, nani anakukontroo hapo???.
These families don't control everything at all..Kuna mifano mnasight haina mantiki wala relationship ktk hizi familia
Kuna vitu na vitu mfano ishu ya Global population at a large scale I agree,ishu ya Roman Catholic Church, US financial systems,music and movies industry, lakini eti college drop out, mara sijui insurance, sijui syllabus na kitu gani plssss,go read ur books this things ziko ktk level kubwa sio ya kitoto toto hata u can't live ur life the way u want...nani anakukontroo to choose the job u want,the wife u want,the children u wanna have where u want to live and go,fields of interest to work on,nk si unachagua mwenyewe???
Rockefeller akikontoroo money supply Federal Bank we unakua affected vipi kwa mfano mambo mengine hatujafika huko..ur free to live ur life,kulitokea depression in the US hata wabongo sijui kama walifeel anything....

Haya mambo hayahitaji sana kusoma wala kufundishwa bali logic tu.. free human being amezaliwa akiwa na akili ubongo haukuwa empty unatakiwa ujitawale kwa kila kitu. Sasa leo hii serikali inakupangia ulale saa ngap yan kwa ujumla scope ya kuishi .. who created the government na piasoma juu ya origin of state!! hizi ni notion za watu tu wamekaa wakaona ni namna gani ya kumtawala binadamu.. driving forces za hii nchi duniani zinatoka kwa baadhi ya powerful persons.
 
haya mambo


Haya mambo hayahitaji sana kusoma wala kufundishwa bali logic tu.. free human being amezaliwa akiwa na akili ubongo haukuwa empty unatakiwa ujitawale kwa kila kitu. Sasa leo hii serikali inakupangia ulale saa ngap yan kwa ujumla scope ya kuishi .. who created the government na piasoma juu ya origin of state!! hizi ni notion za watu tu wamekaa wakaona ni namna gani ya kumtawala binadamu.. driving forces za hii nchi duniani zinatoka kwa baadhi ya powerful persons.
Eti serikali inakupangia ulale sa ngapi,asee hiki ni nini unajaribu kutuambia hapa,mi nikikesha leo usiku serikali ama powerful person yupi amenipangia kitu ama mda wa kulala??..
Scope ya kuishiii?dude plssss...death is a natural process ama hilo hulijui
Hahaha Haya mambo sio logic tu haitoshii...u need to read and read,history present and future prospects.... Driving forces zipi mbona kama unafunika funika vitu hueleweki...
Ishu ya origin of states haijaanzia leo eti,tangu zama za Yesu kuna Roman empire,Egyptian Pharaohs et al utawala kwa binadamu haujaanza leo wala kwa familia hizi za juzi tu 18th Century
Mana kama mnaona mtu akiwa wealthy anakontroo watu basi Tanzania Bakhresa na Mengi wanatukontroo sioo...hehehheh
Km vitu hamvielewi msipotoshe tu umma jmn
 
Eti serikali inakupangia ulale sa ngapi,asee hiki ni nini unajaribu kutuambia hapa,mi nikikesha leo usiku serikali ama powerful person yupi amenipangia kitu ama mda wa kulala??..
Scope ya kuishiii?dude plssss...death is a natural process ama hilo hulijui
Hahaha Haya mambo sio logic tu haitoshii...u need to read and read,history present and future prospects.... Driving forces zipi mbona kama unafunika funika vitu hueleweki...
Ishu ya origin of states haijaanzia leo eti,tangu zama za Yesu kuna Roman empire,Egyptian Pharaohs et al utawala kwa binadamu haujaanza leo wala kwa familia hizi za juzi tu 18th Century
Mana kama mnaona mtu akiwa wealthy anakontroo watu basi Tanzania Bakhresa na Mengi wanatukontroo sioo...hehehheh
Km vitu hamvielewi msipotoshe tu umma jmn

Wenda kitu kimoja tu uelewe hivyo vingine utaelewa taratibu.. "money control the world' the most powerful person who have money control the world...Even ur state is controlled by these people na kama nchi ikiwa controlled na wewe hufuata mkondo huo huo..
 
Mkuu huu uzi ni kwa wale tu walioruhusu mind brain zao ku think under the capet.

Nachoamini mimi ni kwamba kabla ya mzungu wazee wetu waliish the way wanavyotaka ila kizazi chetu cha leo hakuna uhalisia wowote wa maisha yetu halisi kwani kila kitu kiko under control.

Kila unachokiona kuwa kipo kwaajili ya kukusaidia wewe kuelewa au kufanya jambo flani ni mtego kwetu ex. School, Hospital, family planing, internet,religion, nk haya ni baadhi tu yapo lukuki na mengine tusioyajua sisi ila yapo na yanatu drive kwenye kusudi la tawala flani.

Kuna baadhi ya mambo tunayaona na tunaamini ndio uhalisia wake lakini ukweli ni kwamba ndio ni halisi lakini vyanzo vyake uhalisia tulio nao sio wenyewe, wapo wenye siri nzito iliofichika ndani yao lait tungepata fursa ya kuona kinachoendelea chini ya kapeti tungestaajabu sana tena sana.

Hivi ushawahi kujiuliza ni kwanini tuko huru lakini kuna baadhi ya mitandao ambayo bado haturuhusiwi kuoitia taarifa zake???? Kwann wakati tuko huru? Kuna nini cha zaidi huko?? Kwani tukisoma taarifa zake tutapata nini cha zaidi??

Dunia haijalala kamwe kila siku ipo macho inafanya yake ya siri.

Kila mtu ana maono au mtazamo wake hivyo sishangai kuona mwingine akidhani tuko salama kabsa na tu uhuru wa kufanya au kuishi tunavyotaka.
 
Nimependa ulivyojibu kwa uhakika kabisa. Huu ndio uanaume.
Jiulize japo hili halafu ufanye hitimisho...
Hivi bima ya afya kwa mfano, chimbuko lake ni wapi na ni kwanini watumishi karibu wote wanatakiwa(lazimishwa) kuwa nayo?
Mfumo wa elimu kwa mfano, nani alisema tusome masomo flani kwa style flani, hii michepuo sijui ya sayansi, sanaa nani aliianzisha kwa malengo gani??
Sikh hizi fasheni ni English Medium Schools, hili wazo ni la nani na ni kwa mini "watu" wanakimbilia huko?
Je wasomi wangapi wa kiwango cha juu sana unaowajua ambao "wamefanikiwa" ndani ya mfumo rasmi wa elimu?
Je ni wangapi ambao wamefanikiwa nje ya mfumo rasm wa elimu?
Theories nyingine sio lazima upinge bali uone ukweli au uongo uliopo na kuchukua hatua kwa maslahi mapana.
Je ulishawahi kujiuliza dhana ya "mataifa ya ulimwengu wa tatu na wa kwanza?"


Ishu ni kugraduate kwani wangapi wana degree zao na wana kampuni zao na mapato yao,acheni ufamba wa kutegemea conspiracy theories wakati u have the freedom to live the life u want
Starehe nani anakukontroo kustarehe unavyotaka??
Mkopo unataka uchukueje bila utaratibu ama,bima ya afya inamsaidia nani kama sio wewe?ukipata superior medical care ni mtu anakukontrooo hapo??
Elimu si nimesoma afu naitumia mwenyewe, unataka usome syllabus yako alafu Acha shule sasa ndo uone watu watakavokukontroo vzuri
Em give me something practical mfano tangu nilivoamka leo asubuhi hadi saivi nani kanikontroo ama familia gani tajiri imenikontrooo,najikontrooo wmnyw na Mungu
Family iko US sijui UK mi inanikontroo vipi mjipange mda mwingine mnavyofikiria mambo yenu
 
muelewa sana wewe mama,una IQ nzur
mimi nafikiri kuna mtu hajaelewa wana control vipi;
ni sawa na kuwa kisiwani hakukuzuii kutembea,kuendesha gari ,kutokuona misitu ,kustarehe ,kuoa nk
lakini utazunguka mule mwisho utakuta maji,Utaendesha Gari mwisho utakuta maji...

yani popote utakapofurukuta mwisho wa siku utakuta maji.
ndio sawa sawa na hizo Family za hao watu, wewe utaishi utakavyo ,utafanya ufanyavyo ila mwisho wa siku utawakuta pale nnchani.

(kwauelewa wangu binafsi)
 
Bora umeuliza na utoe na majibu,dini ziko Africa tu???.. Ama hata wazungu wana dini na wanasali,
Haya magonjwa na wao si wanaugua
What kind of kontroo iko hapo..kama na ye anakufa kama sisi anaugua kama sisi...nk..huoni unajitengenezea mauongo flani kichwani??
Trust me I tell you I am highly informed abt hizi familia mana been quite a reader tangu mtoto
Mi at around 18 haya makorokoro ya Illuminati and shit were on my finger tips..ss kuna at some point as an individual naona mnadhani mnakua controlled kumbe walaaa hamna anaekukontrooo
Eti kuna mtu akasema oh kina bill Gates cjui Zuckerberg hawana hata digrii walitaka kutoka kwny system, mehhhn B.S...kwani nani kakuzuia wewe leo kuwa college dropout uanzishe kampuni yako na ukimaliza digrii nani kakushika usifungue kampuni, nani anakukontroo hapo???.
These families don't control everything at all..Kuna mifano mnasight haina mantiki wala relationship ktk hizi familia
Kuna vitu na vitu mfano ishu ya Global population at a large scale I agree,ishu ya Roman Catholic Church, US financial systems,music and movies industry, lakini eti college drop out, mara sijui insurance, sijui syllabus na kitu gani plssss,go read ur books this things ziko ktk level kubwa sio ya kitoto toto hata u can't live ur life the way u want...nani anakukontroo to choose the job u want,the wife u want,the children u wanna have where u want to live and go,fields of interest to work on,nk si unachagua mwenyewe???
Rockefeller akikontoroo money supply Federal Bank we unakua affected vipi kwa mfano mambo mengine hatujafika huko..ur free to live ur life,kulitokea depression in the US hata wabongo sijui kama walifeel anything....
Do you know the secrets of the world?Unaweza kunieleza kwanini kuna baadhi ya teknolojia wanazizuia?
Magari yanayotumia maji na solar yamegunduliwa miaka mingi iliyopita, unaweza kuniambia kwanini mpaka leo tunatumia magari ya mafuta ambayo visima vyake vinamilikiwa na makampuni makubwa tu?

Unaweza kuniambia kwanini serikali zipo against sana na tiba za asili,umewahi kumsikia Dr.Sebi aliyegundua tiba ya magonjwa yote?Wazungu hawakuamini na walipompeleka mahakamani akawashinda kwa proof ya watu aliowatibu ambao rekodi zao zilikuwepo mahospitalini kuwa ni wagonjwa, lakini baada ya kupata matibabu kutoka kwa Dr.Sebi wakapona.Mahakama ya Marekani ilithibitisha kuwa wamepona baada ya kupata matibabu ya Dr.Sebi na kumwachia huru. kulikuwa kuna wagonjwa wa ukimwi,hepatitis,kansa,vipofu wa macho katika watu waliotibiwa na Dr.Sebi .

Je unajua kuwa walimuua baada ya kuanza kujitokeza sana kwenye media na akawa ashapata sponsors watakaomsaidia kuja kufungua research institute hapa Afrika?Na unajua kwanini Michael Jackson aliimba wimbo wa "they dont really care about us" nae hakukaa sana wakamuua kwani alikuwa mmoja wa watu waliokua wanataka kumsponsor Dr.Sebi.Unaweza kunijibu kwanini hawatangazi watu kama hao?

Unaweza kuniambia kwanini imani za kale zinapigwa vita?je unaamini hizi imani ni ushamba tu na zimepitwa na wakati.kwahiyo wanatupenda sana na lengo lao ni kutuokoa tusiende motoni?Na kama hakuna control kwanini kuweka sheria ya uchawi?si wangetuacha tu tuwe huru kufanya tunavyotaka tushi katika ushamba wetu ?

Sheria kwa definition ya elimu yetu mbadala ambayo haijafungwa kwenye system maana yake ni mipaka ya kumdhibiti mtu asifanye anavyotaka na anavyoona ni haki.Na kuna vyombo vimewekwa ili kuhakikisha unatii sheria bila shuruti mfano ni Mapolisi

Mapolisi ni nani?katika definition yetu ya elimu mbadala ambayo haijafungwa katika system, mapolisi ni kikundi cha wahuni waliopewa kibali na serikali kufanya uhuni wao ili kuhakikisha watu wanadhibitiwa wasiende kinyume na maslahi ya system ambayo ipo ndani ya sheria.

Unaweza kuniambia kwanini nchi zisizofuata siasa za capitalism zinapigwa vita?North Korea,Iran,Cuba,Libya ya GhaddafiVenezuela ya Hugo Chavez, Zimbabwe(kisa cha Zimbabwe ni kutaka kutaifisha mali za mabepari na kuwagaia wananchi masikini,hii haiendani na capitalism) nk

Naomba uelewe vita sio lazima iwe ya kijeshi hata vya kiuchumi au kutengwa na jamii zingine nazo ni vita lengo ni kukudhibiti ili uingie kwenye control yao.

Je Unaweza kuniambia sababu za kumuua Kanali Muammar Ghadafi?kisa ni kutaka kuunganisha Afrika iwe nchi kama USA na kuhama katika mfumo wa kutumia Dollar.Kama hawataki kutucontrol unaweza kunipa sababu ya kumuua Ghaddafi?

Naomba niishie hapa nikupe nafasi ya kujibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Doomsday conspiracy, simply a myth, nobody control nobody, get back to your senses work hard and do what you get to do.
 
Back
Top Bottom