Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Kuna tetesi nimezipata kutokea kule Butiama nyumbani kwa muasisi wa taifa hili la bongo marehemu baba wa taifa Mwalimu Nyerere kua ile siku viongozi waandamizi wa chama cha demokrasi na maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na katibu wa chama hicho siku walikwenda kumtembelea mama Nyerere na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la baba wa taifa, kua familia ya hiyo wamejiunga na chama cha chadema kwa siri lakini wataweka wazi baadae kua wameachana na chama cha CCM! Jamani hii ni kweli?