SPYMATE
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 1,878
- 1,692
Kamanda Inavyoonekana hawara alikuwa anasimamia ukucha tangu mwenye mali yupo!!Wanawake bhana!! Mume kafariki juzi tu keshapata HAWARA hadi anajua nyumbani kwake na hela zilipo!!!! Huyo hawara anayepajua home mume kafa juzi tu lazima alikuwepo kabla. Mjane anaishi mwenyeweee na wanawe tu very selfish utakuta hapo wakwe, mawifi na mashemeji aliwakatia laini wasiguse urithi alioachiwa akaamini mlinzi na kibenten.. Matokeo yake watoto malaika wanauwawa very sad!!!
Kifo cha Joe hakina utata kweli?
Isije ikawa huyo hawara ndio mastermind wa kumuondosha mwenye mke ili ajimilikishe then atekeleze azma yake aliyoiandaa kipindi kirefu