nyanzara
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 689
- 289
Kachukueni makapi kama ....Ulipaswa kwenda pale kilimani uwaulize kisha uingie JF na majibu toka kwao. Mliozoea kucapitalize ktk migogoro ya CCM ili kupoka wanachama mmeisha awamu hii
Kachukuweni wale waliomeguka kwa mwenyekiti wa CUF Mhe. Prof Haruna Ibrahim Lipumba, wasipotosha chukuweni wa NCCR