nguvu ya buku
Senior Member
- Jul 15, 2025
- 168
- 549
- Ni tishio ?
- Wamepitwa na wakati ?
- Wamegombana na Ccm ?
- Mgongano wa masalahi ?
- au ?
Kikwete anatengeneza mazingira mepesi kwa mwanae,mwendo ni kuua,kufunga na kutoa yoyote aliyekizingiti cha mtoto kufika pale juu
- Ni tishio ?
- Wamepitwa na wakati ?
- Wamegombana na Ccm ?
- au ?
CCM haijali kama wewe ni fisadi. Tena fisadi ndiye anapendwa zaidi na CCM. Itakuwa ni mambo ya kutaka kukaa kwenye kiti cha kibibi.Makamba alifanya ufisadi Tanesco , walianza kumtumbua uwaziri, sasa wamemtosa na ubunge
Sisi wasambaa hatumtaki Makamba ,aende huko kwao alipooa ,anatudharau sana ..Asante CCM hatuwezi kuwa mwakilishi msaliti namna ile ..
Siku watakayotaka kuweka Riziwani awe rais ndiyo siku hiyo CCM itagawanyika. Itakuwa kama Uhuru Kenyatta mara ya kwanza alipotaka kuwekwa na Moi.February ndoto zake ni Urais
Kizimkazi na Remote control ya Msoga wanamweka mbali Kisiasa ili Kizimkazi akitoka Riz1 akamate nchi kama Rais.
Hiyo ni code nimewapa
. Fitna
- Ni tishio ?
- Wamepitwa na wakati ?
- Wamegombana na Ccm ?
- Mgongano wa masalahi ?
- au ?
Nakuhakikishia Rais awamu ya 7 atakuwa Riz1, hiyo ni taka usitake, Riz1 ndo RaisSiku watakayotaka kuweka Riziwani awe rais ndiyo siku hiyo CCM itagawanyika. Itakuwa kama Uhuru Kenyatta mara ya kwanza alipotaka kuwekwa na Moi.
Mkuu, njia ishatengenezwa sidhani kama kuna wa kuzuia hiyo.Siku watakayotaka kuweka Riziwani awe rais ndiyo siku hiyo CCM itagawanyika. Itakuwa kama Uhuru Kenyatta mara ya kwanza alipotaka kuwekwa na Moi.
Wote ni mafisi. Hakuna mwenye nafuu.Achore kile kikatuni alichomchorea JPM wakati ule kaachwa uwaziri. Alichora mtu anaota moto akiwa shimoni na ngazi ya kuapandia juu, ile ngazi zile partion za kukanyaga na kupanda ndio muotaji moto anazitumia kukokea moto.
JPM alikuwa mpole sana