Familia ya Makamba imefanya nini hadi kupoteza ushawishi katika siasa za CCM, walianza kumweka kando Mzee Makamba, round hii ni January

Familia ya Makamba imefanya nini hadi kupoteza ushawishi katika siasa za CCM, walianza kumweka kando Mzee Makamba, round hii ni January

Wanaimiliki ACT wazalendo

Wazuri hawafi
Hapo ndipo utakapojua UNAFIKI WA "WASWAHILI"!

1: Makamba sr aliungana na akina Kinana kumteta JPM, matokeo yake akamzunguka Kinana, na kurudi kuomba msamaha kwa JPM, bila Kinana kujua. Inatolewa adhabu kwa Kinana, tunaambiwa akina Makamba haiwahusu, akiwemo na Nape, kwani wao walishaomba radhi siku nyiiiingiii! Hapo ndipo tunaambiwa tuwe na tahadhari na "WASWAHILI"!

2: Mama Samia naye, kaonyesha "USWAHILI" wake. Mzee Makamba, ndiye aliyeanzisha ule mchakato wa kumtangaza 'Mama', kuwa ndiye mteule pekee wa CCM wa Urais, tena kabla ya wakati, na kwenye kikao ambacho sio maalum kwa kazi hiyo, na kumwambia asiogope kutangazwa mapema, kwani "YEYE NI MZURI, HAWEZI KUFA"!
Leo hii, mwanaye, KACHINJILIWA MBALI! Sidhani kama atarudia ule UJUAJI wake wa KUBWABWAJA kwenye vikao vya CCM, kujifanya mjuaji wa kila kitu!
Hao ndio WASWAHILI!!!
 
Nakuhakikishia Rais awamu ya 7 atakuwa Riz1, hiyo ni taka usitake, Riz1 ndo Rais
Mzee wa Msoga Huwa hafanyi kazi ya hasara laZima kijana wake ashike nchi
Hizo ndoto za mchana mkuu sasa hv atakae kuwa rais ni jasusi la mbinguni
 
Fisadi hloo....

Hivi ile mitungi ya gesi aliyogawa iko wapi!? Nani ana jaza gesi.!??
 
Fisadi hloo....

Hivi ile mitungi ya gesi aliyogawa iko wapi!? Nani ana jaza gesi.!??
 
Madili ya tanesco
Viashiria vya uhaini kutaka kumtoa kitini boss wake(hii tangu kwa magufuli( na ni juzjuz tu SAMIA katoa msamaha ila hukuambiwa amemsamehe kwa kosa Gani
January mwizi wa kura za mitandaoni...hawaoni watafeli Bwana mdogo akikasilika😄
 
  • Kicheko
Reactions: x x
Siku watakayotaka kuweka Riziwani awe rais ndiyo siku hiyo CCM itagawanyika. Itakuwa kama Uhuru Kenyatta mara ya kwanza alipotaka kuwekwa na Moi.
Katika hatua CDM harakati uchwara mtajutia hadi kaburini ni hiyo NRNE kwa huu mwaka!! Mmempa chura kiburi kilichopitiliza!
 
All in all January alitakiwa aweke mipango mapema au ajifanye Mjinga kama Mwigulu siku ziende
 
Back
Top Bottom