False Alarm: EU Parliament Resolution Against Tanzania is Hoax

False Alarm: EU Parliament Resolution Against Tanzania is Hoax

Kwani hilo bakuli wanajaza bure bure?
Kumbe unajua kuwa bakuli halijazwi bure,kama hamuwezi kujitegemea lazima mnyooshwe kwani hiyo mikopo ina masharti mengi mojawapo ikiwa kuheshimu haki za binadamu na utawala bora.
 
Kumbe unajua kuwa bakuli halijazwi bure,kama hamuwezi kujitegemea lazima mnyooshwe kwani hiyo mikopo ina masharti mengi mojawapo ikiwa kuheshimu haki za binadamu na utawala bora.
Haki za binadamu kama ushoga na usagaji?
 
hiyo aikuwa hoja yangu, wewe umeponda "mzungu" kilichonishanganza umeponda mzungu kwa "kizungu," i.e lugha ya mzung, wakati uwezekano wa kutumia lugha yako upo, hapo ndipo nilipochoka ...
Uwe unasoma soma. Naamini hujawahi kuiona ila sala ya wakoloni wa Tanganyika waliyoiandikwa kwa kiswahili ya kuwaombea washenzi wa Afrika.

Hapo sasa kwa kuwa ni wazungu wametumia kiswahili kuwakejeli waafrika kwako haitakuwa issue. Ila issue ni mwafrika kutumia kiingereza kuwasema wazungu.
 
Fanyeni yote ila tafadhali mabomu hayafai
 
Uwe unasoma soma. Naamini hujawahi kuiona ila sala ya wakoloni wa Tanganyika waliyoiandikwa kwa kiswahili ya kuwaombea washenzi wa Afrika.

Hapo sasa kwa kuwa ni wazungu wametumia kiswahili kuwakejeli waafrika kwako haitakuwa issue. Ila issue ni mwafrika kutumia kiingereza kuwasema wazungu.

unakwenda mbali sana kufanya mambo yawe magumu bila ya sababu, nilishangaa tu mtu ambaye anaponda wazungu na kusema kwamba hawana ulazima anaandika hivyo kwa kutumia lugha ya kizungu na siyo lugha yake hapo hapo anasema kwamba wazungu siyo muhimu na siyo lazima, nimeshindwa kuelewa, hauoni kama unajipinga wewe mwenyewe? i mean, umesema hatuwahitaji wazungu huku ukitumia lugha ya kizungu kufikisha ujumbe???? ...
 
unakwenda mbali sana kufanya mambo yawe magumu bila ya sababu, nilishangaa tu mtu ambaye anaponda wazungu na kusema kwamba hawana ulazima anaandika hivyo kwa kutumia lugha ya kizungu na siyo lugha yake hapo hapo anasema kwamba wazungu siyo muhimu na siyo lazima, nimeshindwa kuelewa, hauoni kama unajipinga wewe mwenyewe? ...
Sawa mkuu
 
confuser is confused 🤣
Differentiate between the Misinformation, Fake information and Disinformation.

Ndio maana Msigwa hakusema ile ni fake information, yeye ni mwandishi wa habari anajua habari ni ya kweli but back dated sio nyie layman.
 
Mbaya sana hizi rumors

Zinaua kabisa the little credibility ya mobali na ngai wetu
Kama ni uongo kweli ni mbaya sana kusambaza uongo kama mlango wa kudai haki. Huwezi kushinda haki kwa njia za uongo! Bahati mbaya hakuna reliable source ya hii taarifa mpaka sasa.
 
Differentiate between Misinformation, Fake information and Disinformation.

Ndio maana Msigwa hakusema ile ni fake information, yeye ni mwandishi wa habari anajua habari ni ya kweli but back dated sio nyie layman.
okay gentleman, the English language teacher now 🤣
 
Back
Top Bottom