Falsafa ya kiti; Siri ya mchezo

Falsafa ya kiti; Siri ya mchezo

Bila shaka kuna watu wanafikiri kwa kutumia sehemu ya kukalia.

Kwa kweli hali ya uchumi ni tete, lakini watu wakilalamika wanaambiwa ''mlikuwa wapiga dili'',
Hivi ni kweli kila anayelalamika alikuwa mpiga dili?

Nadhani kichwa cha Sizonje kimeshafikia menopause, hakiwezi kuzalisha mawazo yenye rutuba kwa ustawi wa uchumi.Hata washauri wake nahisi hawasikilizwi ama nao ni timu moja.
 
Bila shaka kuna watu wanafikiri kwa kutumia sehemu ya kukalia.

Kwa kweli hali ya uchumi ni tete, lakini watu wakilalamika wanaambiwa ''mlikuwa wapiga dili'',
Hivi ni kweli kila anayelalamika alikuwa mpiga dili?

Nadhani kichwa cha Sizonje kimeshafikia menopause, hakiwezi kuzalisha mawazo yenye rutuba kwa ustawi wa uchumi.Hata washauri wake nahisi hawasikilizwi ama nao ni timu moja.
Twende nao mdogo mdogo sio kosa lao
 
Twende nao mdogo mdogo sio kosa lao
Yaani jambo lipo wazi kabisa kwamba mambo ni tata lakini jitu litajitutumua kutetea upumbavu.
Kila asubuhi ni matangazo ya kufunga biashara kuashiria kufilisika lakini bado hawaoni.
 
Hapo CRDB ni uchumi wa Kilimanjaro tu ndiyo utaathirika na si vinginevyo. Maana hata wakipunguza wafanyajazi ni watu wa Kilimanjaro ndiyo watapunguzwa kwa wingi maana ndiyo wengi. Ni zaidi ya asilimia 80 ya wafanyakazi wa CRDB. Acha wapunguzwe.
Ndiyo aina ya miccm iliyopo
 
Yaani jambo lipo wazi kabisa kwamba mambo ni tata lakini jitu litajitutumua kutetea upumbavu.
Kila asubuhi ni matangazo ya kufunga biashara kuashiria kufilisika lakini bado hawaoni.
Wengi wana macho wanatazama lakini hawaoni
Wanasikia lakini hawaelewi
Wanaambiwa lakini hawaambiliki
 
Wabongo mlizoea maisha ya mkato mkato sana na kupenda raha za kijinga sasa hivi mmebanwa ili mue na discipline basi ni kelele tu uchumi mbaya, ni lini uchumi wa bongo ulikua mzuri?? Na ulikua mzuri kushinda nchi gani?? Mnatakiwa muishi kwa discipline na kwa budget haswa mambo ya kunywa hovyo na matumizi yakijinga mwisho ni awamu hii. Namba lazima isomeke tu hamna namna.
 
Wabongo mlizoea maisha ya mkato mkato sana na kupenda raha za kijinga sasa hivi mmebanwa ili mue na discipline basi ni kelele tu uchumi mbaya, ni lini uchumi wa bongo ulikua mzuri?? Na ulikua mzuri kushinda nchi gani?? Mnatakiwa muishi kwa discipline na kwa budget haswa mambo ya kunywa hovyo na matumizi yakijinga mwisho ni awamu hii. Namba lazima isomeke tu hamna namna.
Kwani nchi gani tuna shindana nayo?
 
Kama hamshindani sasa ni lini uchumi ulikua mzuri?? Mbona hamjibu swali?? Pesa ya madafu imeanza kushuka kitambo sana toka enzi haijawi kuwa stable muda wowote ule.Ngosha anyooshe tu nchi hamna namna tena.
 
bd92c3fcadb8721f60b6bebaf176cde9.jpg
a4994bdd8b1208b6a1ed8aaa35d044a0.jpg
tarehe kama hizi hiyo ndio hali halisi, japo najua ndugu zangu hawashindwi kusema ni photoshop [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Benki siku hizi naenda kulipa ada za watoto tu basi.
 
Najua mnahasira za kupigwa kwenye uchaguzi, kibaya zaidi yule jamaa yenu hatakaa awe rais.
Ila na hili nalo litakwisha mtaanza juongea mengine! Hivi wimbo wa ufisadi umeishia wapi?
 
Mkuu mshana jr kuna kitu kinaitwa GUNDU,
Mtu akiwa na gundu hata akifanya nini huku akidhani anafanya jema matokeo ni negative
Akidhani anachekesha anashangaa watu wanalia kwani kichekesho chake kimegusa msiba
Ukimpa gari aendeshe utashangaa engine ina knock bila sababu ya msingi
Sasa mtu wa hivyo ( ingawa yeye hajijui) ni hatari kukaa kiti cha mbele, ataharibu sherehe (mfumo) nzima.
Jee ulikuwa unazungumzia habari hiyo au mimi hii Konyagi ninayo kunywa hapa ni zile FAKE hivyo nimechanganya mambo?
 
Back
Top Bottom