Falsafa ya CHADEMA ni hii, ya CCM iko wapi?

Falsafa ya CHADEMA ni hii, ya CCM iko wapi?

Wanabodi,


Profesa mmoja kutoka Ujerumani amefichua falsafa ya M4C inatumiwa na Chadema baada ya wafadhili wa nje kukibana chama hicho kueleza namna kinavyotumia fedha kinazopewa, kwa mujibu wa Profesa huyo, falsafa ya oparesheni sangara na ile ya vua gamba vaa gwanda hazina tafsiri nzuri ya kisiasa inayoweza kueleweka mbele ya wafadhili, wanataka falsafa ya vuguvugu la mabadiliko M4C.

Chadema katika mikutano yao ya M4C wamekuwa watu wakulalamika tu kuhusu ufisadi, hali ngumu ya maisha na umasikini lakini hawasemi wao watafanyaje kuondoa umasikini huo, karibia majimbo yote yanayoshikiliwa na Chadema yanakabiliwa na changamoto nyingi zinazohusu kero za wapiga kura wao, badala ya wabunge hawa kwenda majimboni kukaa na wananchi wao kuona ni namna gani wanaweza kuzitatua kero kazi wao kazi kupuyanga na hovyo na hiyo M4C wanasahau wamebakiwa na miaka miwili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi mwingine.

.


Ritz, nadhani umechanganya mambo, kuna tofauti kubwa sana kati ya falsafa (phyilosophy), key message, strategy, opeations, theme and objective.

Kwenye red: Ulitakiwa useme, nchi nzima (ambayo by the way inaongozwa na serikali ya ccm) inakabiliwa na changamoto nyingi sana.
 
Kwa kifupi falsafa ya CDM ni the opposite of CCM in every sense. CDM iko kufanya kazi kwa kuyaondoa maovu yote yaliyofanywa na CCM kwa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.
 
Ritz, nadhani umechanganya mambo, kuna tofauti kubwa sana kati ya falsafa (phyilosophy), key message, strategy, opeations, theme and objective.

Kwenye red: Ulitakiwa useme, nchi nzima (ambayo by the way inaongozwa na serikali ya ccm) inakabiliwa na changamoto nyingi sana.

Falsafa ya Chadema ni nini na sera ya Chadema ni nini na kauli mbiu ya Chadema ni nini?
 
Naona unataka kujivunjia heshima yako humu Jamvini tofautisha sera na falsafa...Chadema sera zao ni za kibepari na ndio maana mfadhili wake mkuu wa nje ni chama cha Conservative cha Uingereza ambacho ni cha mapepari.

Mkuu nadhani umeelezwa vizuri kuwa operation sangara, vua gamba vaa gwanda na m4c ni operation tu na haiwezi kuwa falsafa. Falsafa ni dhana pana inayotafsiri maisha ya mtu
 
Sipingi wala siungi mkono mada,ila hoja alizotoa mleta mada ni nzito!
Matusi hayatabadili hoja hizi,ila CDM waje na hoja zingine nzito kukanusha madai ya mleta mada.
 
Wanabodi,

Wananchi wanataka kujua ni nini hasa sera na itikadi inayosimamiwa na Chadema mlianza na falsafa ya oparesheni sangara katika kile mnachodai kupambana na mafisadi nchini, lakini falsafa hiyo imetupwa na kurukia falsafa nyingine ya vua gamba vaa gwanda, kabla ya falsafa hiyo nayo kuyeyeka njiani na sasa wananchi wanashangaa kuja na falsafa nyingine ya M4C.

Profesa mmoja kutoka Ujerumani amefichua falsafa ya M4C inatumiwa na Chadema baada ya wafadhili wa nje kukibana chama hicho kueleza namna kinavyotumia fedha kinazopewa, kwa mujibu wa Profesa huyo, falsafa ya oparesheni sangara na ile ya vua gamba vaa gwanda hazina tafsiri nzuri ya kisiasa inayoweza kueleweka mbele ya wafadhili, wanataka falsafa ya vuguvugu la mabadiliko M4C.

Chadema katika mikutano yao ya M4C wamekuwa watu wakulalamika tu kuhusu ufisadi, hali ngumu ya maisha na umasikini lakini hawasemi wao watafanyaje kuondoa umasikini huo, karibia majimbo yote yanayoshikiliwa na Chadema yanakabiliwa na changamoto nyingi zinazohusu kero za wapiga kura wao, badala ya wabunge hawa kwenda majimboni kukaa na wananchi wao kuona ni namna gani wanaweza kuzitatua kero kazi wao kazi kupuyanga na hovyo na hiyo M4C wanasahau wamebakiwa na miaka miwili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi mwingine.

Miaka miwili kisiasa ni michache mno kama hujafanya kitu chochote cha maana hadi sasa, huwezi kukifanya tena ndani ya muda huo uliobaki.

Ukiona mgonjwa anaomba uji ujue iziraeli anamnyemelea!
 
Nimeongea na kiongozi mmoja kutoka NGO moja nchini anafichua kwamba ili Chadema kionekane kweli machoni mwa mataifa hayo ya magharibi kwamba ni chama cha siasa chenye dhamira ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini, wameamuaa kulitumia neno waliopewa na wafadhili wao Movement for Change (M4C) ili kujihalarishia uhalali wa kuendelea kufaidi mamilioni ya shilingi yaliyotengwa na mataifa hayo ya kikoloni ili yaweze kurejea kuzitawala kiuchumi nchi za kiafrika Tanzania ikiwemo.

Zimebaki kuwa porojo wewe na wenzako mkiongozwa na Nape mlipewa nafasi ya kuwataja hao mnaosema wanawafadhili CDM mmebaki kuleta majungu yasiyo na udhibitisho.Hamuwezi kurudisha heshima ya chama chenu kwa hila wala uongo
 
Wanabodi,

Wananchi wanataka kujua ni nini hasa sera na itikadi inayosimamiwa na Chadema mlianza na falsafa ya oparesheni sangara katika kile mnachodai kupambana na mafisadi nchini, lakini falsafa hiyo imetupwa na kurukia falsafa nyingine ya vua gamba vaa gwanda, kabla ya falsafa hiyo nayo kuyeyeka njiani na sasa wananchi wanashangaa kuja na falsafa nyingine ya M4C.

Profesa mmoja kutoka Ujerumani amefichua falsafa ya M4C inatumiwa na Chadema baada ya wafadhili wa nje kukibana chama hicho kueleza namna kinavyotumia fedha kinazopewa, kwa mujibu wa Profesa huyo, falsafa ya oparesheni sangara na ile ya vua gamba vaa gwanda hazina tafsiri nzuri ya kisiasa inayoweza kueleweka mbele ya wafadhili, wanataka falsafa ya vuguvugu la mabadiliko M4C.

Chadema katika mikutano yao ya M4C wamekuwa watu wakulalamika tu kuhusu ufisadi, hali ngumu ya maisha na umasikini lakini hawasemi wao watafanyaje kuondoa umasikini huo, karibia majimbo yote yanayoshikiliwa na Chadema yanakabiliwa na changamoto nyingi zinazohusu kero za wapiga kura wao, badala ya wabunge hawa kwenda majimboni kukaa na wananchi wao kuona ni namna gani wanaweza kuzitatua kero kazi wao kazi kupuyanga na hovyo na hiyo M4C wanasahau wamebakiwa na miaka miwili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi mwingine.

Miaka miwili kisiasa ni michache mno kama hujafanya kitu chochote cha maana hadi sasa, huwezi kukifanya tena ndani ya muda huo uliobaki.

inawezekana unawakumbusha jambo, lakini umeshuindwa namna ya kuliwasilisha.

Kuna tofauti kubwa kati ya FALSAFA na KAULI MBIU.

Operation sangara, Vua gamba vaa gwanda, na M4C, hazina sifa ya kuwa FALSAFA, bali zinakila sifa za kuitwa KAULI MBIU.

Ukitaka kuijua falsafa ya CHADEMA, Huna budi kupata kadi yao na katiba yao, lazima imezengumzwa.

kukupa kwa kifupi ni kwamba,

FALSAFA, ni msimamo wa mtu/kundi/taasisi/ ....juu ya jambo/mambo fulani. Sasa imani ya CHADEMA katika masuala mbalimbali ni kama ifuatavyo:-

1. Mgawanyo wa madaraka. Mihimili mitatu ijitegee, kila mhimili usimamie mihimili mingine ili kuleta uwajibikaji. Kwa maana hiyo, CHADEMA hawakubaliani na na mtu kuwa mubunge na hapo hapo kuwa waziri. waziri ni mtendaji wa wizara, hivyo anapaswa kuajiriwa kulingana na sifa zake, na wala si mwanasiasa wakati mbunge ni mwakilishi wa wananchi, anatumwa na wananchi kuisimamia serikali.

2. Serikali ya majimbo ni falsafa nyingine inayoaminika ndani ya CHADEMA. Hivyo, watakapo shika madaraka, kila mkoa utageuka na kuwa jimbo, ili viongozi wa mikoa wapatikane kwa kura za wananchi. Mkuu wa mkoa/jimbo/state, atachaguliwa, Mkurugenzi wa halimashauri, ataajiriwa na sio kuteuliwa. hii itasaidia viongozi wilayani na mkoani kuwajibika moja kwa moja kwa wananchi.

3.
 
ukikubali kutumiwa na kuweka utu wako rehani, huo ni utumwa wa fikra, na ndio tatizo kubwa la vijana wa lumumba ofisi ndogo.
 
inawezekana unawakumbusha jambo, lakini umeshuindwa namna ya kuliwasilisha.

Kuna tofauti kubwa kati ya FALSAFA na KAULI MBIU.

Operation sangara, Vua gamba vaa gwanda, na M4C, hazina sifa ya kuwa FALSAFA, bali zinakila sifa za kuitwa KAULI MBIU.

Ukitaka kuijua falsafa ya CHADEMA, Huna budi kupata kadi yao na katiba yao, lazima imezengumzwa.

kukupa kwa kifupi ni kwamba,

FALSAFA, ni msimamo wa mtu/kundi/taasisi/ ....juu ya jambo/mambo fulani. Sasa imani ya CHADEMA katika masuala mbalimbali ni kama ifuatavyo:-

1. Mgawanyo wa madaraka. Mihimili mitatu ijitegee, kila mhimili usimamie mihimili mingine ili kuleta uwajibikaji. Kwa maana hiyo, CHADEMA hawakubaliani na na mtu kuwa mubunge na hapo hapo kuwa waziri. waziri ni mtendaji wa wizara, hivyo anapaswa kuajiriwa kulingana na sifa zake, na wala si mwanasiasa wakati mbunge ni mwakilishi wa wananchi, anatumwa na wananchi kuisimamia serikali.

2. Serikali ya majimbo ni falsafa nyingine inayoaminika ndani ya CHADEMA. Hivyo, watakapo shika madaraka, kila mkoa utageuka na kuwa jimbo, ili viongozi wa mikoa wapatikane kwa kura za wananchi. Mkuu wa mkoa/jimbo/state, atachaguliwa, Mkurugenzi wa halimashauri, ataajiriwa na sio kuteuliwa. hii itasaidia viongozi wilayani na mkoani kuwajibika moja kwa moja kwa wananchi.

3.

KWA UFAFANUZI HUU, HATA Nape ATAKUWA AMEELEWA.
 
Jiandae kuhesabiwa na source itakuwa ofisi kuu ya takwimu usijifiche tafadhali.

Nihasabiwe vipi wakati sensa tayari mmeishafanya muda mrefu..

Wakiristo 45% Waislam 35% Source Ofisi ya Waziri Mkuu.

Wakiristo 52% Waislam 32% Source TBC.

Wakiristo 45% Waislam 40% Source Bodi ya Utalii.

Wakiristo 44% Waislam 34% Source Tovuti ya Wakatoliki.
 
Jaribu kuhoji baadhi ya masuala nyeti baada ya kufanya utafiti ili uje na vielelezo vyenye mashiko. ongea kwa takwimu na vidhibitisho ili jamii ipate kuelewa , ukisema prof mmoja na ukitaja chama cha conservative cha uk bila kuelezea kiasi cha fedha kinachotoa na katika account gani, unaonekena kama mpika majungu na mwenye wivu tu. haipendezi kwa mtu wa umri wako kuwa na papara ya mambo yasiyo na uhalisia kama haya! anyway pole kwa roho mbaya kwa cdm!
 
Ritz ni vema ungesoma maana ya Falsafa, Sera, Itikadi na Kauli mbiu kabla ya kupost hii thread. Hii thread is in your disadvantage.

TUMBIRI (PhD - In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM),Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Overall Best Student inForm six National Exams).

tumbiri@jamiiforums.com
 
Sijawahi kuona Jf wa ajabu kama huyu, sijawahi kupata point katika uzi zake.
 
Back
Top Bottom