Harakati za CDM sana sana ni kuwabeba vijeba vya CDM ili waonekane wanafanya kaziakati ni pamoja na maandamano na migomo inayoshabikiwa sana a wapambe wa CDM.
Sioni jinsi unvyoweza kuendeleza nchi kwa kugoma.
Hata hivyo kwa info yako wewe unawezakuwa canon fodder wa kuwawezesha watu kupata ulaji tu bila kujijua.
Hey! Give me a break. Hivi nchi inaendelezwa kwa kuiba na kupora mali ya umma na kunenepesha ma-account uswis? Inaendelezwa kwa kwenda kusaini mikataba ya uchimbaji madini nnje ya nchi tena guest? Kwa kunyang'anya wananchi ardhi iliyoandaliwa miundombinu ya umwajiliaji na kuwapa mabepari huku wenyenchi wakifa kwa njaa? Ilhali tunayo mapori kibao yenye rutjba na hayajaendelezwa. Ama kweli imeandikwa kuwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa