Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
Ritz Mnaotumiwa kama madodoki ni nyinyi Mnaogawa hizi Rasilimali za hii nchi kwa vihongo vidogo vidogo halafu mkitolewa madarakani manafreeze vihela vyenu kama walivyomfanyia Gadaff na wanawe hizo hela za Uswisi zitarudi tuuMkuu usilete mazoea Movement for Change M4C ni Falsafa ambazo wafadhili kutoka nje ya nchi wanazitumia kwa Chadema, ukienda Zimbabwe kwa Morgan Tsinvagirai kuna MDC, ukienda Uganda kuna A42, ukienda Kenya kuna ODC Raila Odinga..
Wafadhili wa hivyo vyama hiyo ndio falsafa yao wanawatumia lakini nyie ambaye mnatumia hamjui chochote masikini mnatumiwa kama madodoki.