Mangaline
JF-Expert Member
- May 19, 2012
- 1,045
- 221
Napenda kukushukuru kwa kunisaidia kuomba radhi, Nisaidieni ninapo onewa. "MUNGU AKUBARIKI KWA MOYO WA UPENDO"Namuombea samahani sana kwa kukuumiza, sikupenda iwe hivyo naye kakubali, ila ailitaka ufikirie kuhusu neno demo-cracy halafu umma na nguvu yake. Narudia anaomba samahani kwa kukuofend.