Falsafa ya CHADEMA ni hii, ya CCM iko wapi?

Falsafa ya CHADEMA ni hii, ya CCM iko wapi?

Sina akili za kitoto kama unavyofikiri, kabla ya kufanya jambo unatakiwa kufanya upembuzi yakinifu, sio kufuata mdundiko na kuacha mboga inaungua. Fikiria watoto wako na wajukuu wako, acha ubinafsi. Utalia uzeeni.
Nakutakia usiku mwema na uanaharakati wako, achilia mbali kama unafahamu lolote juu ya falsafa ya CDM kama ipo.
Ni usanii full kujiachia.
 
Nakutakia usiku mwema na uanaharakati wako, achilia mbali kama unafahamu lolote juu ya falsafa ya CDM kama ipo.
Ni usanii full kujiachia.
Pole sana, ndugu yangu, nakuonea huruma sana. Yaani ungekuwa unajua umuhimu wa kuupa umma nguvu juu ya dola tungeongea vizuri. Ila ubarikiwe usingizi mzuri. Mungu akuoteshe CDM imechukua nchi 2015, na nguvu utakazokuwa nazo kama sehemu ya umma.
 
Muwekee nape kiporo cha swali ilo( niñi falsafa ya ccm) atakupa bajibu mepesi kuwa ni liwalo na liwe....
 
Pole sana, ndugu yangu, nakuonea huruma sana. Yaani ungekuwa unajua umuhimu wa kuupa umma nguvu juu ya dola tungeongea vizuri. Ila ubarikiwe usingizi mzuri. Mungu akuoteshe CDM imechukua nchi 2015, na nguvu utakazokuwa nazo kama sehemu ya umma.

Usijidanganye mkuu, come 2015 Ikulu hawaendi watu bali mtu mmoja tu.
Na ataingia huko baada ya kupigiwa kura na si baada ya maandamano na migomo.
Tumekuwa tukiwataka sera zenu mbadala za kiuchumi hasa ikitilia maanani mipango ya kuondoa umasikini , ujinga na kuendeleza afya- hakuna response.
Peoples power haiweki ugali mezani wala kukuletea dawa mahospitalini.
Lazima nikubali kuwa CDM hata hivyo ni mafundi wa kukosoa tu na si kutoa alternative solutions, kwa hilo nawapongeza.

Maandamano, migomo na chaos ambavyo ndio hallmark ya CDM si ingredient ya maendeleo.
Kwa mtaji huo wa kuonewa huruma ni ninyi msiojua mdundiko mnaoucheza kwa ajili ya wachache ndani ya CDM.
Kama nilivyosema, ma cannon fodder mko wengi.
 
Mmm ccm hawana

Usijidanganye mkuu, come 2015 Ikulu hawaendi watu bali mtu mmoja tu.
Na ataingia huko baada ya kupigiwa kura na si baada ya maandamano na migomo.
Tumekuwa tukiwataka sera zenu mbadala za kiuchumi hasa ikitilia maanani mipango ya kuondoa umasikini , ujinga na kuendeleza afya- hakuna response.
Peoples power haiweki ugali mezani wala kukuletea dawa mahospitalini.
Lazima nikubali kuwa CDM hata hivyo ni mafundi wa kukosoa tu na si kutoa alternative solutions, kwa hilo nawapongeza.

Maandamano, migomo na chaos ambavyo ndio hallmark ya CDM si ingredient ya maendeleo.
Kwa mtaji huo wa kuonewa huruma ni ninyi msiojua mdundiko mnaoucheza kwa ajili ya wachache ndani ya CDM.
Kama nilivyosema, ma cannon fodder mko wengi.


How prophetic, hapo in red.
Hii niliandika KABLA hata ya fujo za Morogoro.
CHADEMA kumbukeni nchi hii ni ya waTanzania na si aidha wewe ni CDM au ni CCM.

Kwa habari za intelijesia toka Polisi huyo kijana Ally kauwawa for maximum effects ili watu wapate mahala kulaumu.
 
[/B][/COLOR]
How prophetic, hapo in red.
Hii niliandika KABLA hata ya fujo za Morogoro.
CHADEMA kumbukeni nchi hii ni ya waTanzania na si aidha wewe ni CDM au ni CCM.

Kwa habari za intelijesia toka Polisi huyo kijana Ally kauwawa for maximum effects ili watu wapate mahala kulaumu.
Mkuu maoni haya ni kama kitwanga maji kwenye kinu,CDM hawasikii la muadhini wala shehe ili mradi vutugu xoxote zilizoanzishwa serikali ilaumiwe bila wao kuchukua dhamans yoyote kwa uharibifu wa mali na maisha.

La kusikitisha zaidi ni jinsi kijana Ally alivyotelekezwa lakini lawama tele utafikiri jamaa wana uchungu , kumbe unafiki mtupu.
Dr Slaa huyo kulianzisha valangati lingine Iringa,mnyika na mike Darisalama, Mbowe yuko majuu.
Kijana Ally hata alikozikwa CDM haijui.

Wale ambao sera za CDM haziwshusu wajijue kutokana na hilo tukio.
 
SISIEMU ni chama hatari sana sana kinapandikiza udini,ukabila na mauaji Tanzania,Chama hiki 2010 kilikataliwa sana mijini,lakini kwa sasa mpaka vijijini ndani ndani huko Maswa,Meatu,Bukombe,Ukerewe n.k.,wote wazee kwa vijana wamekikataa hawakitaki tena,hawataki hata kukisikia wanasema 2015 lazima wakichinjie baharini.
 
SISIEMU ni chama hatari sana sana kinapandikiza udini,ukabila na mauaji Tanzania,Chama hiki 2010 kilikataliwa sana mijini,lakini kwa sasa mpaka vijijini ndani ndani huko Maswa,Meatu,Bukombe,Ukerewe n.k.,wote wazee kwa vijana wamekikataa hawakitaki tena,hawataki hata kukisikia wanasema 2015 lazima wakichinjie baharini.
Mzee wa Miba unamchoma Nape vibaya.
 
Kuna mzee mmoja alikuwa anadai bado ni ujamaa na kujimegetea, na ujamaa wake ni wa kivyakevyake. Nilitamani kumuuliza lile Azimio la zanzibar lilikuwa ni nini?
 
488372_10151134965633788_1581234255_n.jpg

Kasi zaidi
Peoples power
 
bwana chama kimepoteza dira siku nyingi (ccm) ukitaka kujua kama hii ni kweli angalia viongoz wake wanatetea nini wanapokuwa majukwaani je wafanyakaz wa chao? wakulima je? alama ya jembe na nyundo ndio ilikuwa msingi wa falsafa ya ccm je kundi hilo la jembe na nyundo wana chao ktk nchi hii? je ccm wanawatumikia nani? basi hapo ndipo tunaposema wamepoteza dira maana viongozi ukiwauliza mnafuata ujamaa au ubepari atakujibu ujamaa. ndivyo wanavyongea wanapokuwa majukwaani
 
wanajf samahani CDM ni wajamaa au wabepari au ubepar mchanganyiko au ujamaa mchanganyiko mana hata ujamaa ni nguvu ya uma kwa kuwa uma ndio unaomiliki uchumi. nisaidieni?
 
Mheshimimiwa Freddy Sanga,

Kwanza kabisa hongera na asante sana kwa uzi huu, ambao ni wa kipekee kabisa hapa JF.

Uzi huu umefanikiwa ktk mambo mengi lakini kubwa zaidi ni kuwa umetenga usiku na mchana ktk siasa za Tanzania. Kwa maana ya msingi wa falsafa, sera, dira, maono na uwezo ktk dhana nzima ya kushika dola na kuleta maendeleo.

Bila kuongeza chumvi, kupitia uzi huu imethihirika kuwa CCM ni wepesi sana, ni wapumbavu, ni watu wasio na maono wala uwezo wa kuiongoza Tanzania yetu; na ndio maana kama vile Mwenyekiti wao Jakaya Kikwete alivyosema Oktoba 2010 "...Nataka nijulikane kuwa niliitoa Tanzania hapa nikaifikisha hapa.....". Maana yake NOWHERE!

Hivyo basi kwa kuwa:-
- uzi wako huu una umri wa zaidi ya mwaka mmoja na nusu mpaka sasa;
- na kwa vile wana CCM hapa JF tena kwa wingi wao wameshindwa hata kudiriki kufikiria kutaja falsafa yao ni ipi,
- wao wako katika kuchumia tumbo zaidi ya kufikrisha bongo zao

Hitimisho:Uzi uwe sticky, tena kwa maandishi ya rangi ya dhahabu (ikiwezekana MODS).

Ili uzi huu uwe shule na mafundisho kwa kila mwenye kuitembelea JF kwa nia au lengo la kupanua elimu na ufahamu.
 
Back
Top Bottom