Umalaya mtupu. Yaani hii watu wanaita changuduo class A. Kama ulikuwa hujui we pia ni changu tu.
Na wa kiume pia wapo, anapasha hapa anamalizia pale. Hii dunia kaaazi kweli kweli.
Umalaya mtupu. Yaani hii watu wanaita changuduo class A. Kama ulikuwa hujui we pia ni changu tu.
Mhh, am a lady, nimeipenda hiyo, nipe number yako nikutafute unipe somo zaidi. Seems you great on this man!!!
Ofcourse it was directed to Mwanamayu but just for advice ONLY no more am engaged!!
Yangu machoeheheh jamani .........hii topic nafikiri kidogo naikosea maelekezo ya kisayansi.
a) sikujua kuwa wako wanaofanya hivyo
b) sijui wanafanya vipi na kwa nini
c) sijui wanaume wanatambuaje kama ile ilikuwa fake!
Hahaha tunawaonea Huruma mimi ni mmoja waoKwanini wanawake wanadanganya?
Kwanini wasiseme kweli kuwa tumewaacha njia panda ili tujue ni namna gani tuwasaidie wafike kileleni?
duh.....Hahaha tunawaonea Huruma mimi ni mmoja wao
Maana wengi wenu nguvu hamna tehetehe
.Kwanini wanawake wanadanganya?
Kwanini wasiseme kweli kuwa tumewaacha njia panda ili tujue ni namna gani tuwasaidie wafike kileleni?
Hamuongei ukweli, mnawazuga waume zenu kuwa mmeshafika, matokeo yake mnaenda kuparamia wabeba mizigo na mahausi boy
na ndo icho namuomba mkwe wangu ndalichako asisahau,tutaoa vitukoDuh, kwa mwendo huu bodi ya mikopo inabidi ifanye kazi ya ziada...la sivyo kuna watu wengi wataangamia!