Faiza wa Sugu kama Beyonce

Faiza wa Sugu kama Beyonce

Imekua kawaida ya mastaa wa kike ulimwengu kupiga picha za nusu uchi wakiwa wajawazito na kuonyesha matumbo yao wazi, style hii imejizoelea umaarufu sana hata kwa baadhi ya mastaa nchini Africa wamekua wakiiga mtindo huo.

Sasa hivi imekua zamu ya mwanamama aliyejipatia umaarufu baada ya kuzaa na mwanamuziki ambaye pia ni mbunge, mh sugu aitwaye faiza ally ,mwana mama huyo amejizoelea umaarufu kutokana na life style yake ya kukaa uchi bila kujali yeyote. Hata hivyo staa huyo ameibuka na picha tata akionyesha ujauzito wake wa sasa huku akifuraia ujio wa mtoto huyo mtarajiwa, pozi mnalionaje?? Kakosea au kapatia?
e9a030f5cff80818d3ef0afae7e7df82.jpg
Inakuhusu nini wake za wenzio, ebu lete hoja za maana.
 
Hawa ndo wa bongo wetu
Kama hawana wazaz wala,ndugu vile
 
2d31d95ba9c57391535ad903b1daed2f.jpg


Ila faiza mungu anakuona ujue? Naona umeamua kutuvunja mbavu leo
 
Hako katoto ndo kale kabinti ka Sugu?kwanini basi asimchukue mwanae akamwondolea hili balaa lakukosa malezi bora?mama na kichupi huku ana mimba isiyo na baba wa ndoa mtoto anajifunza nini hapo!!!inasikitisha sana.
 
Hako ka Faiza kanaamini kuwa kana mvuto wa kimapenzi hadi kanajianika na chupi zake chafu kwenye mitandao.

Yaani ukikaangalia vizuri hakana tofauti na De Gea Kipindi anaanza kudakia Man U.

(Samahani mashabiki wenzangu wa Man U imebidi niseme ukweli)
 
Mmoja ana mume na ndoa, anazaa watoto wake toka kwa huyo mume wake! Huyu mwingine hana mume na hana ndoa na tayari ana mtoto kutoka kwa mwanaume mwingine tofauti na Mimba ya sasa.Pia Beyonce ni Tajiri.
 
wanaume huku mnaponda wakati akiwatanulia mapaja hapo mtakatika kama kawa.. pamoja na kumponda kidume kumeweka mbegu hapo mtoto azaliwe
 
Imekua kawaida ya mastaa wa kike ulimwengu kupiga picha za nusu uchi wakiwa wajawazito na kuonyesha matumbo yao wazi, style hii imejizoelea umaarufu sana hata kwa baadhi ya mastaa nchini Africa wamekua wakiiga mtindo huo.

Sasa hivi imekua zamu ya mwanamama aliyejipatia umaarufu baada ya kuzaa na mwanamuziki ambaye pia ni mbunge, mh sugu aitwaye faiza ally ,mwana mama huyo amejizoelea umaarufu kutokana na life style yake ya kukaa uchi bila kujali yeyote. Hata hivyo staa huyo ameibuka na picha tata akionyesha ujauzito wake wa sasa huku akifuraia ujio wa mtoto huyo mtarajiwa, pozi mnalionaje?? Kakosea au kapatia?
e9a030f5cff80818d3ef0afae7e7df82.jpg
Na hako katoto kanachobusu hilo tumbo si cha Sugu? Sugu was right kumnyang'anya huyu idiot mtoto
 
Imekua kawaida ya mastaa wa kike ulimwengu kupiga picha za nusu uchi wakiwa wajawazito na kuonyesha matumbo yao wazi, style hii imejizoelea umaarufu sana hata kwa baadhi ya mastaa nchini Africa wamekua wakiiga mtindo huo.

Sasa hivi imekua zamu ya mwanamama aliyejipatia umaarufu baada ya kuzaa na mwanamuziki ambaye pia ni mbunge, mh sugu aitwaye faiza ally ,mwana mama huyo amejizoelea umaarufu kutokana na life style yake ya kukaa uchi bila kujali yeyote. Hata hivyo staa huyo ameibuka na picha tata akionyesha ujauzito wake wa sasa huku akifuraia ujio wa mtoto huyo mtarajiwa, pozi mnalionaje?? Kakosea au kapatia?
e9a030f5cff80818d3ef0afae7e7df82.jpg
Kwa Beyonce umeenda mbali wapo wapuuzi wengine, halafu wapo wapuuzi wenzao wanawaita MA role model zao
images.jpeg
images-1.jpeg
images-2.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom