Faiza wa Sugu kama Beyonce

galton

Member
Apr 8, 2017
80
126
Imekua kawaida ya mastaa wa kike ulimwengu kupiga picha za nusu uchi wakiwa wajawazito na kuonyesha matumbo yao wazi, style hii imejizoelea umaarufu sana hata kwa baadhi ya mastaa nchini Africa wamekua wakiiga mtindo huo.

Sasa hivi imekua zamu ya mwanamama aliyejipatia umaarufu baada ya kuzaa na mwanamuziki ambaye pia ni mbunge, mh sugu aitwaye faiza ally ,mwana mama huyo amejizoelea umaarufu kutokana na life style yake ya kukaa uchi bila kujali yeyote. Hata hivyo staa huyo ameibuka na picha tata akionyesha ujauzito wake wa sasa huku akifuraia ujio wa mtoto huyo mtarajiwa, pozi mnalionaje?? Kakosea au kapatia?
e9a030f5cff80818d3ef0afae7e7df82.jpg
 
Imekua kawaida ya mastaa wa kike ulimwengu kupiga picha za nusu uchi wakiwa wajawazito na kuonyesha matumbo yao wazi, style hii imejizoelea umaarufu sana hata kwa baadhi ya mastaa nchini Africa wamekua wakiiga mtindo huo.

Sasa hivi imekua zamu ya mwanamama aliyejipatia umaarufu baada ya kuzaa na mwanamuziki ambaye pia ni mbunge, mh sugu aitwaye faiza ally ,mwana mama huyo amejizoelea umaarufu kutokana na life style yake ya kukaa uchi bila kujali yeyote. Hata hivyo staa huyo ameibuka na picha tata akionyesha ujauzito wake wa sasa huku akifuraia ujio wa mtoto huyo mtarajiwa, pozi mnalionaje?? Kakosea au kapatia?
e9a030f5cff80818d3ef0afae7e7df82.jpg
Mama na mwana wote wanashinda na vichupi

Kesho na kesho kutwa mtoto asipokuheshimu unamuona mbaya kumbe wala wewe mwenyewe ndio umemjengea hali hiyo.
 
Ningekuwa na mwanamke kama huyu ningemuuza hata bila kudai chochote,., kweli mtoto wa Mh .Sugu ndo anashinda na chupi hadi kwwnye media
.
 
Imekua kawaida ya mastaa wa kike ulimwengu kupiga picha za nusu uchi wakiwa wajawazito na kuonyesha matumbo yao wazi, style hii imejizoelea umaarufu sana hata kwa baadhi ya mastaa nchini Africa wamekua wakiiga mtindo huo.

Sasa hivi imekua zamu ya mwanamama aliyejipatia umaarufu baada ya kuzaa na mwanamuziki ambaye pia ni mbunge, mh sugu aitwaye faiza ally ,mwana mama huyo amejizoelea umaarufu kutokana na life style yake ya kukaa uchi bila kujali yeyote. Hata hivyo staa huyo ameibuka na picha tata akionyesha ujauzito wake wa sasa huku akifuraia ujio wa mtoto huyo mtarajiwa, pozi mnalionaje?? Kakosea au kapatia?
e9a030f5cff80818d3ef0afae7e7df82.jpg
Inakuhusu nini wake za wenzio, ebu lete hoja za maana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom