Faiza wa 5 select EATV naye ni walewale

Status
Not open for further replies.
Huyo dogo wakishua hatariii,ni bint mdog tu maana ukimwona mama yake umr wake ni 30 had 32,so she can be 16 kweli,huyo demu hanag uswahil kam mnaompakazia

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sijui kwanini wasanii wa bongo wanapenda kudanganya umri wao., hilo tumeliona kwa wasanii wachache na mmoja wapo "lulu" ambaye amefunza jamii juu ya adhari za kudanganya umri., turudi kwa faiza mtangazaji wa channel 5 kipindi cha 5 select., kama wiki mbili zilizopita tuliona exclusive session yakr ndani ya skonga ambapo alihojiwa shule anaposoma na kwa mdomo wake nakumbuka alisema ana miaka 15.. Sasa leo kaniacha kwenye butwaa kugundua na yeye ni kama wasanii wengine baada ya kuongea juu ya topic ya MV bukoba katika kipindi cha leo cha 5 select akisema anakumbuka alimpoteza bibi yake na ilibidi wasafiri na mama yake kwenda kutambua mwili wa huyo bibi yake.. MV bukoba ni miaka 16 sasa imepita, skonga kasema anamiaka 15 halafu 5 select anahadithia jinsi ajali ilivyotokea na alivyojisikia vibaya baada ya mama yake kumpa taarifa., tena ameongea hivi " i was young but i still remember everything coz nilimpenda sana bibi yangu"... Sasa nawauliza jamii, kudanganya umri kwa wasanii imekuwa fashion au...?

Ajali ya Mv Bukoba ilitokea mwaka 1996,mwaka 1997 nilisoma madrasa na huyo binti akiwa mtoto mwenye uelewa tayari,ana uwezo wa kuhifadhi kumbukumbu,alikua mtundu mwenye maneno mengi. Huo umri anaotaja anadanganya,wakati ajali ya Mv Bukoba inatokea alikua amezaliwa tayari na mwenye uelewa.
 
tuheshimiane jamani, huyu haezi kuwa na miaka 15, labda ya kichina.

mwenzio kazaliwa 1998, lakini 1996 alikwenda kutambua maiti ya bibi yake aliezama na kufa maji kwa ajali ya mv bukoba.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom