Faiza Ali na vazi LA ufukweni

Faiza Ali na vazi LA ufukweni

Mwenzenu anatamgaza biashara yake ya beach wear. Nyie endeleeni kumfanyia marketing
 
Huyu ni mwanamke wa kiislam kabisa ,Kipnd cha ramadhan hujigubika mpk usoni,, hv Mungu ni wa kipindi cha mwez mmoja tu kwa mwaka mzma??
Huyu unamuwekaje ndani km mke?? Bora Sugu alikimbia mapema tena angemchukua na mtt maana haya matendo yatareflect kwny maisha ya mtt baadae
 
Wewe mleta mada unajua maana ya kukosa maadili? Kama yes hii picha usingeleta hapa.
 
Huyo sawa mjinga mjinga mwenzake aliyepiga picha Wa tatu aliyeipost huku ujinga Wa wajinga tunaletewa sisi ili kuongeza idadi ya wajinga pyuhhhjj
 
kweli mbunge Wangu alipotea njia kama mwanamke ndo huyo hasara tu.atamfundisha na mwanae
 
Duuuh
cd56e6786372f6d7e4a1a91ea8769d9b.jpg
Kanapenda mno kukaa uchi
 
0e446f3cf3e75c9255e531c4d7ca9c49.jpg
Ivi watanzania utu wetu upo wapi mbona tunapoteza misingi yetu kama jamii iliyostaharabika na kukumbatia tamaduni za kipuuzi..
unajua kuwa africa kuvaa hivyo ndio ilikuwa tamaduni yetu??

haya mambo ya suruali tumeletewa na hao unaosema tumeiga tamaduni zao
 
Hiyo ni Biashara yake she can dress a thong for advertisements
Sijui watu wanaumia nini na dressing style za watu wengine!
Angekua kavaa hivyo in the crowd,or institution atleast ningeshangaa!
 
Back
Top Bottom