Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

"... na hebu tusubiri hiyo jumamosi tuone kama nazi [jkt ruvu] itatimiza ndoto yake ya kuvunja jiwe [kandambili]... nikiripoti toka ITV ni mimi Hemedi Kivuyo"

cc Makoye Matale nifah mkolaj na kandambili wote

Mengi naye amezidi kuajiri vihiyo mpaka anaboa, sasa pale ameajiri nini ile!
Maadili ya uandishi wa habari hayaelekezi mwandishi kujipambanua upande unaosapoti kiasi kile. Hata Charles Hilary ni Arsenal damu lakini ni vigumu mno kumfahamu anapotangaza mpira ama anaporipoti matokeo.
Hili zezeta utalichukia siku kandambili ibahatike kushinda, litatumia dakika tatu kuimba mashairi ya kuisifia mitaa ya jangwani mpaka kero. Nadhani Kivuyo na Steve Yanga wana ubongo unaofanana.
 
Last edited by a moderator:
Wacha wee,wafalme wa vikombe vya mbuzi/michangani bila kusahau mabonanza.
Hivi ligi kuu nani anaongoza kuchukua mara nyingi?Kama vipi ligi kuu nayo ifutwe basi maana Yanga hatuna mpinzani.

Kombe la kucheza mwaka mzimaaa eti bingwa anaambulia sasa hivi mil. 70. Wakati huo huo kuitoa timu Dsm kuipeleka Kagera au Mbeya gharama yake sio chini ya milioni 10 zidisha kwa mechizote ugenini kwa mwaka mzima, bila kusahau maandalizi ya timu nikimaanisha usajili wa mamilioni na kuweka timu kambini.
Hilo kombe la ridhaa ndio maana Mnyama anashiriki tu, acha wadogo zetu Azam wachukue mpaka Simba tutakapoamua kuanza kulichukua tena. Mtaishia ushindi wa pili kwenye ligi mpaka mtie akili, ubingwa mtaona wakipokezana Simba na Azam tu.
Mapinduzi Cup ubingwa wanapokezana Simba na Azam tu.
Ligi kuu Bara Azam alimpokea Simba na itakuwa hivyohivyo tu labda ligi ifutwe.
Yanga ubingwa wenu wa mbao za hisani mnatafuta ugomvi na mafundi seremala tu. Hivi kwenye mbao za hisani kuna hata mshiko kweli?
 
kama kawa baba kama dawa namtell live bila chenga


mabebz wapiii...
walugaluga tu walokuja mjini kwa gari za mkaa na mbio za mwenge na vijiji vyenu vya ujamaa
simba watoto wa mjini wewee ndo mana tupo mtaa wa msimbazi katikati ya jijiii
nyie kule wapi sasaaa...
kuiga mnyama mmenda kujenga dampo kule daah #!!

Wenzao wanahamishwa kwa sababu ya mafuriko wao wamezinda kumbe pale kaunda wameanzisha kamradi ka kuvua kambale. Wananchi wameondoka sasa kambale wote pale jangwani mali yao. Kanawalipa kwakweli...
 
Achana na hao wapuuzi wa bongo movie bwana...
Mimi nawasemea wabebez wengine tu hapa mjini.Itabidi nikutafute tukacheki game baina yetu uone simba walivyo mashangingi...lol

Heri uwe na mashabiki mashangingi maana ndiyo sifa ya mwanadada atakupoza something baada ya kusheherekea ushindi kuliko kuwa na mashabiki vigagula kama akilimali na yusuf mzimba kutwakuchwa kuwanga. Mara oh taulo la kipa litolewe golini, mara mgambo jkt wameficha hirizi kwenye bukta....hamna lolote mmezidiwa soka tu.
Yanga mmechoooka kwelikweli
 
kombe la mbuzi na kombe la ligi yote ni makombe.. hivyo kandambilieni tu.

Wasingekuwa wanapeleka timu basi. Tena kama Mtani jembe tambo kibao na kukodisha mabasi, Mnyama anawaangalia tu. Wakiweka makalio uwanjani Mnyama katafuna...hahahahahaaaa eti kombe la mbuzi, Zile mbao za hisani ndio za kutengenezea banda la mbuzi au siyo...?
 
Mbona umehesabu mbili tu baby wangu? Nimekuambia hesabu mechi ishirini. Unaweza kuta ndio hizo hizo mbili tu. Maana hapa nilikuwa nasubiri utaje na zile 5-0. Kuhusu huyo dogo kuna siku nitakuunganisha naye, anashangaa kweli kila siku Yanga inakalishwa tu Simba, hadi anahisi inatakiwa iwe hivyo, kumbe ni Yanga wamekuwa vibonde.
Ova
Kama yeye mbishi hata na ughaibuni wanalijua hilo...
 
Mbona umehesabu mbili tu baby wangu? Nimekuambia hesabu mechi ishirini. Unaweza kuta ndio hizo hizo mbili tu. Maana hapa nilikuwa nasubiri utaje na zile 5-0. Kuhusu huyo dogo kuna siku nitakuunganisha naye, anashangaa kweli kila siku Yanga inakalishwa tu Simba, hadi anahisi inatakiwa iwe hivyo, kumbe ni Yanga wamekuwa vibonde.
Ova
Kama yeye mbishi hata na ughaibuni wanalijua hilo...
 
Mengi naye amezidi kuajiri vihiyo mpaka anaboa, sasa pale ameajiri nini ile!
Maadili ya uandishi wa habari hayaelekezi mwandishi kujipambanua upande unaosapoti kiasi kile. Hata Charles Hilary ni Arsenal damu lakini ni vigumu mno kumfahamu anapotangaza mpira ama anaporipoti matokeo.
Hili zezeta utalichukia siku kandambili ibahatike kushinda, litatumia dakika tatu kuimba mashairi ya kuisifia mitaa ya jangwani mpaka kero. Nadhani Kivuyo na Steve Yanga wana ubongo unaofanana.

Hahahahahaaaaa umenichekesha sana kwa chuki zako dhidi ya kivuyo.Binafsi hua naangalia taarifa za michezo ITV sababu yake,siku mengi akimtimua tu atanipoteza.
Charles Hillary niliwahi kumhisi na nilikua na hisia kua ni Arsenal yule.Ukimsikiliza kwa umakini utayagundua mapenzi yake acha kumuonea Kivuyo.
Naona siku mnyama akipakatwa hua unatamani umtafune Kivuyo maana yale maneno yake unaweza kulia hivihivi...
Teh teh teh ...
 
Mimi sioni sababu ya kuendelea kuandaa Kombe na fedha mil. 100 za Kilimanjaro lager kwakweli ikiwa kila mwaka Simba anachukua vyotee....
Yaani kwa kula Bata viwanja tunawashinda hata uwanjani kabumbu Yeboyebo hawatuwezi.
Wafute tu kama Kombe la Tusker lilivyofutwa ili kuwaokoa makocha wa yeboyebo na talaka 3.

na yeboyebo wanalitamaan sana kombe hili wanaishia kunawa tu.paka wanatia huruma.inabid tuwaandalie kakombe kadogo kamfungwa mtan jembe
 
Heri uwe na mashabiki mashangingi maana ndiyo sifa ya mwanadada atakupoza something baada ya kusheherekea ushindi kuliko kuwa na mashabiki vigagula kama akilimali na yusuf mzimba kutwakuchwa kuwanga. Mara oh taulo la kipa litolewe golini, mara mgambo jkt wameficha hirizi kwenye bukta....hamna lolote mmezidiwa soka tu.
Yanga mmechoooka kwelikweli

hao ndo wanaongoza kwa ushirikina.ww kama sio mshirikina huwez ogopa hiyo kitu
 
Wasingekuwa wanapeleka timu basi. Tena kama Mtani jembe tambo kibao na kukodisha mabasi, Mnyama anawaangalia tu. Wakiweka makalio uwanjani Mnyama katafuna...hahahahahaaaa eti kombe la mbuzi, Zile mbao za hisani ndio za kutengenezea banda la mbuzi au siyo...?

kombe la mbuz mbona walicheza yan hawa jamaa kiboko wakishindwa kitu ndo utasikia oooh mwanaume gan ww dushelele kubwa mara ooooh ananyonya sana kisimb paka nakojoa sana kudadaaaadeki vya watu ukila kubali uliwe.
 
Kombe la kucheza mwaka mzimaaa eti bingwa anaambulia sasa hivi mil. 70. Wakati huo huo kuitoa timu Dsm kuipeleka Kagera au Mbeya gharama yake sio chini ya milioni 10 zidisha kwa mechizote ugenini kwa mwaka mzima, bila kusahau maandalizi ya timu nikimaanisha usajili wa mamilioni na kuweka timu kambini.
Hilo kombe la ridhaa ndio maana Mnyama anashiriki tu, acha wadogo zetu Azam wachukue mpaka Simba tutakapoamua kuanza kulichukua tena. Mtaishia ushindi wa pili kwenye ligi mpaka mtie akili, ubingwa mtaona wakipokezana Simba na Azam tu.
Mapinduzi Cup ubingwa wanapokezana Simba na Azam tu.
Ligi kuu Bara Azam alimpokea Simba na itakuwa hivyohivyo tu labda ligi ifutwe.
Yanga ubingwa wenu wa mbao za hisani mnatafuta ugomvi na mafundi seremala tu. Hivi kwenye mbao za hisani kuna hata mshiko kweli?

kitu cha siku unatoa ugwadu kwa yanga bao za kutosha kama umetoka jela vile ukishamkumbatia mtoto mzuriiiii wakat anacheza sharubu za mnyama unakabidhiwa mipesa hafu japo yakuopoa huyu changu doa pia humpi kitu unamuachia ushuzi tu.huyu wetu muda wote ukitaka kugonga mashine yupo na anakubal hata akiwa ana breed.kipoozeo chetu
 
kama kawa baba kama dawa namtell live bila chenga


mabebz wapiii...
walugaluga tu walokuja mjini kwa gari za mkaa na mbio za mwenge na vijiji vyenu vya ujamaa
simba watoto wa mjini wewee ndo mana tupo mtaa wa msimbazi katikati ya jijiii
nyie kule wapi sasaaa...
kuiga mnyama mmenda kujenga dampo kule daah #!!

walipoiingia mjini wakapewa hifadh huko na maafuriko haya wanapewa hifadh mabwepande wakitaka wakubakubal kuolewa bila mahal msimbaz waamie ili tuwe nawagonga kama mke sasa sio kama changudoa kama sasa
 
Hahahahahaaaaa umenichekesha sana kwa chuki zako dhidi ya kivuyo.Binafsi hua naangalia taarifa za michezo ITV sababu yake,siku mengi akimtimua tu atanipoteza.
Charles Hillary niliwahi kumhisi na nilikua na hisia kua ni Arsenal yule.Ukimsikiliza kwa umakini utayagundua mapenzi yake acha kumuonea Kivuyo.
Naona siku mnyama akipakatwa hua unatamani umtafune Kivuyo maana yale maneno yake unaweza kulia hivihivi...
Teh teh teh ...

Nafurahi umesema ukimsikiliza kwa makini Charles Hilary utagundua ni mshabiki wa arsenal.
Ni tofauti na huyu kihiyo Kivuyo maana yeye anajionesha waziwazi kinyume na ethics za uandishi.
 
walipoiingia mjini wakapewa hifadh huko na maafuriko haya wanapewa hifadh mabwepande wakitaka wakubakubal kuolewa bila mahal msimbaz waamie ili tuwe nawagonga kama mke sasa sio kama changudoa kama sasa

Hahahahaaaa....mkuu huyu mke wetu ni malaya ajabu. Huoni juzijuzi alihamia Polisi Zanzibar tulipomdunda bwana wake tukifikiri sasa tuko peke yetu akahamia kwa bwana mwingine kutoka Turiani anaitwa Mtibwa Sugar. Tulipomfuma na kutembeza kichapo kwa buzi lake hilo, nimesikia sasa hivi amepata bwana huko Ndanda. Huyu demu wa buku hashikiki, na tukimshika huyo bwana wake wa Ndanda tutamla jicho...
 
na yeboyebo wanalitamaan sana kombe hili wanaishia kunawa tu.paka wanatia huruma.inabid tuwaandalie kakombe kadogo kamfungwa mtan jembe

Wanaombea siku Simba ijitoe wakutane na timu nyingine lakini sio Mnyama. Na hiyo siku wazee wa kuzimia hawa wakichukua badala ya kuzimia kama kawaida yao watakufa kabisa kwa furaha..
 
kitu cha siku unatoa ugwadu kwa yanga bao za kutosha kama umetoka jela vile ukishamkumbatia mtoto mzuriiiii wakat anacheza sharubu za mnyama unakabidhiwa mipesa hafu japo yakuopoa huyu changu doa pia humpi kitu unamuachia ushuzi tu.huyu wetu muda wote ukitaka kugonga mashine yupo na anakubal hata akiwa ana breed.kipoozeo chetu

Shekhe Yanga hatuna wasiwasi nao, mke ni mke tu hata afanye mbwembwe mtaani mume anamsubiri nyumbani tu. Akiamua kumalizia sebuleni kwenye sofa sawa, jikoni hewala, chumbani kitandani au sakafuni alhamdullilah...
Tatizo mke mwenyewe mapepe mara ahamie Polisi zanz, Mtibwa na sasa kahamia Ndanda.
 
Shekhe Yanga hatuna wasiwasi nao, mke ni mke tu hata afanye mbwembwe mtaani mume anamsubiri nyumbani tu. Akiamua kumalizia sebuleni kwenye sofa sawa, jikoni hewala, chumbani kitandani au sakafuni alhamdullilah...
Tatizo mke mwenyewe mapepe mara ahamie Polisi zanz, Mtibwa na sasa kahamia Ndanda.

aaaaaaha umeua mzee
 
Back
Top Bottom