Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Ok,naomba uniwekee na matokeo rasmi ya Mtani Jembe 1.

Mtani Jembe 1 mlikunja zaidi ya milion 98 lakini uwanjani hamkufanya chochote, Mtani jembe 2 tumetii ule msemo wa kizungu unaosema a winner takes it all.
 
Mtani Jembe 1 mlikunja zaidi ya milion 98 lakini uwanjani hamkufanya chochote, Mtani jembe 2 tumetii ule msemo wa kizungu unaosema a winner takes it all.

Sasa mtani jembe hii ya kwanza ndiyo niliyokua naisemea wakati namjibu grafani11 alivyosema kua mtani jembe zote mbili mmeibuka kidedea kotekote (uwanjani na bar).
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hapo kwenye kufungua vizibo naona umemwongezea zaidi ya milion 6 na nusu, kiukweli Simba walipata Tsh 77,590,000. Hivyo jumla Simba walikunja zaidi ya milioni 92 na Yanga walipata chini ya milion 8.

Mkuu nadhani mkuu mtoa uzi alitaka angalau kuwapa moyo Yeboyebo maana wamenyanyasika vya kutosha. Teheteheteheeee...
 
Mtani Jembe 1 mlikunja zaidi ya milion 98 lakini uwanjani hamkufanya chochote, Mtani jembe 2 tumetii ule msemo wa kizungu unaosema a winner takes it all.

Mwambie na Simba kwa ushindi ule wa Tsunami ilikunja ngapi.
 
Wewe mashabiki wa Yanga ndio watoto wa mjini pure,wasomi na watu classic kama hujui.Mashabiki wa simba wengi wao ni mijimama iliyojichokea na wazee,kama vijana wapo basi ni mateja tu.
Hadi sasa siamini kama na wewe best angu geniveros ni shabiki wa mikia!
Roho inaniuma kweli yani kumuona hata Mdakuzi wangu kapotea kwa mikia,nitafanya niwezavyo hadi nimvishe kitu za uzi wa njano na kijani na kadi juu.

Duh! Kusema kweli aliyekupa taarifa hizo amekupotosha kabisa. Simba ni ya kizazi hiki kabisa, chunguza tu mwenyewe utaona, achana na taarifa za upotoshaji. Lol
Ova
 
Mkuu hapo kwenye kufungua vizibo naona umemwongezea zaidi ya milion 6 na nusu, kiukweli Simba walipata Tsh 77,590,000. Hivyo jumla Simba walikunja zaidi ya milioni 92 na Yanga walipata chini ya milion 8.

Asante Mkuu kwa kuweka rekodi sawia.
 
Duh! Kusema kweli aliyekupa taarifa hizo amekupotosha kabisa. Simba ni ya kizazi hiki kabisa, chunguza tu mwenyewe utaona, achana na taarifa za upotoshaji. Lol
Ova

Kama hata Obama na George Bush wanashabikia Simba SC nani atasalia...
 
Simba hii ndiyo ile imemwonyesha njia ya kwenda Lusaka Mwl. Phiri baada ya kufungwa na Kagera Sugar. Simba hii ndiyo iliyokubali kipigo cha tiGO moja toka kwa Mtibwa Sugar hii hii katika hatua ya makundi ya mashindano haya haya! Simba hii hii ndiyo ile isiyo na golikipa; sasa wewe unataka kutuaminisha nini jioni hii ya leo?
Hahahahahaaaaaaaa...mpelekempelekeee...kimyaaaaaaaaaaa
 
Mkuu Makoye Matale siku hiz anasali muda wote

Hatokei kabisa humu jukwaani

Chezea kunyanyasika wewe

Hadi mhindi anaondoka watakuwa wameisoma namba
Ameondoa raha ya jukwaa kabisa, sasa tutamnyanyasa nani humu ndani. Nafahamu Yeboyebo wako wengi humu lakini hawajitokezi mpaka kiatu cha chooni kishinde...
 
Ameondoa raha ya jukwaa kabisa, sasa tutamnyanyasa nani humu ndani. Nafahamu Yeboyebo wako wengi humu lakini hawajitokezi mpaka kiatu cha chooni kishinde...

Kuna mmoja anaitwa mkolaj humu anajikongoja kimtindo

Kuna mwingine anaitwa Deo Corleone

Lakini uwe na tahadhari nao...manake wana hasira za kifaru aliyejeruhiwa...hahahahaha
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom