Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Dah! Alafu kweli, hawa ndala watakuwa wanaichukia sana rangi nyekundu na nyeupe. Maveterani wa Simba bado wanaendeleza bakora, Simba kama timu bado wanaendeleza bakora, nina mpwa wangu anasema shuleni kwao msingi huwa wanacheza Simba na Yanga, na huwa Simba kama kawa. Nawaoneaga huruma sana hawanaga pa kutokea inapokuja jina Simba.

Apendaye chongo huita kengeza, soma na angalia mwenyewe hapa:

YANGA VETERANI YAIFUNGA SIMBA VETERANI UWANJA WA BANDARI TEMEKE | JAMIIBLOG au

YANGA VETERANI YAIFUNGA SIMBA VETERANI UWANJA WA BANDARI TEMEKE | FULL SHANGWE BLOG

https://www.youtube.com/watch?v=-wKBlC6Sn0s
 
"yanga ni timu ya kawaida saaaana, tutaitoa shoo siku ya jumamosi taifa"

Source: Kauli ya Masau Bwire a.k.a Msemaji wa timu "inayojiamini" ya JKT RUVU.

NB: Nimependa sana kauli ya kujiamini ya hawa vijana wa Jeshi... Eeeh Mungu saidia hawa vijana wako wa Jeshi watimize ndoto zao.

cc Makoye Matale nifah mkolaj na kandambili wote

'Simba ni timu ya kawaida sana, ni timu kongwe kwa jina tu, hakuna timu pale, Mtibwa Sugar ndiyo timu inayoongoza ligi hadi sasa, hatujapoteza mechi yoyote, hao Simba tutawafunga tu fainali ya kombe la Mapinduzi' (Thobias Kifaru, kabla ya mechi).

Si unafahamu kilichotokea?
 
Mimi sioni sababu ya kuendelea kuandaa Kombe na fedha mil. 100 za Kilimanjaro lager kwakweli ikiwa kila mwaka Simba anachukua vyotee....
Yaani kwa kula Bata viwanja tunawashinda hata uwanjani kabumbu Yeboyebo hawatuwezi.
Wafute tu kama Kombe la Tusker lilivyofutwa ili kuwaokoa makocha wa yeboyebo na talaka 3.

Hivi unaujua mchanganuo wa zawadi za kill lager mtani jembe wewe?au unafurahisha genge tu hapa na kujifariji kwa ushindi wa uwanjani?
Zile mil 100 zinagawanywa hivi,mil 80 zinatoka kwa mashabiki wa timu husika wanaokunywa kill kwa wingi,sasa hapa ndipo tunapowazidi kete maana Yanga tupo wengi na pesa ipo.Watu wanakunywa kill kwa wingi hadi mil 80 wanachukua Yanga sc sio nyie mnaojifariji kwa ushindi wa uwanjani wa mil 20.
Hata hivyo hamuwezi kuchukua hizo mil 80 maana nyie mikia ni wachovu mnaoshindia viroba hapo msimbazi..teh teh teh....
 
kama kawa baba kama dawa namtell live bila chenga


mabebz wapiii...
walugaluga tu walokuja mjini kwa gari za mkaa na mbio za mwenge na vijiji vyenu vya ujamaa
simba watoto wa mjini wewee ndo mana tupo mtaa wa msimbazi katikati ya jijiii
nyie kule wapi sasaaa...
kuiga mnyama mmenda kujenga dampo kule daah #!!

Wewe mashabiki wa Yanga ndio watoto wa mjini pure,wasomi na watu classic kama hujui.Mashabiki wa simba wengi wao ni mijimama iliyojichokea na wazee,kama vijana wapo basi ni mateja tu.
Hadi sasa siamini kama na wewe best angu geniveros ni shabiki wa mikia!
Roho inaniuma kweli yani kumuona hata Mdakuzi wangu kapotea kwa mikia,nitafanya niwezavyo hadi nimvishe kitu za uzi wa njano na kijani na kadi juu.
 
Last edited by a moderator:
Mengi naye amezidi kuajiri vihiyo mpaka anaboa, sasa pale ameajiri nini ile!
Maadili ya uandishi wa habari hayaelekezi mwandishi kujipambanua upande unaosapoti kiasi kile. Hata Charles Hilary ni Arsenal damu lakini ni vigumu mno kumfahamu anapotangaza mpira ama anaporipoti matokeo.
Hili zezeta utalichukia siku kandambili ibahatike kushinda, litatumia dakika tatu kuimba mashairi ya kuisifia mitaa ya jangwani mpaka kero. Nadhani Kivuyo na Steve Yanga wana ubongo unaofanana.

Hahaha... Huyo ni Hemedi Kivuyo a.k.a Hemedi Kihiyo.
 
'Simba ni timu ya kawaida sana, ni timu kongwe kwa jina tu, hakuna timu pale, Mtibwa Sugar ndiyo timu inayoongoza ligi hadi sasa, hatujapoteza mechi yoyote, hao Simba tutawafunga tu fainali ya kombe la Mapinduzi' (Thobias Kifaru, kabla ya mechi).

Si unafahamu kilichotokea?

"... kenda haiko mbali na kumi na hebu tusubiri hiyo kesho"
 
Hivi unaujua mchanganuo wa zawadi za kill lager mtani jembe wewe?au unafurahisha genge tu hapa na kujifariji kwa ushindi wa uwanjani?
Zile mil 100 zinagawanywa hivi,mil 80 zinatoka kwa mashabiki wa timu husika wanaokunywa kill kwa wingi,sasa hapa ndipo tunapowazidi kete maana Yanga tupo wengi na pesa ipo.Watu wanakunywa kill kwa wingi hadi mil 80 wanachukua Yanga sc sio nyie mnaojifariji kwa ushindi wa uwanjani wa mil 20.
Hata hivyo hamuwezi kuchukua hizo mil 80 maana nyie mikia ni wachovu mnaoshindia viroba hapo msimbazi..teh teh teh....

Matokeo Rasmi Ya Mtani Jembe 2:

Uwanjani:
Simba Sc 15m Kandambili 5m.

Kwenye Bar:
Simba Sc 71m Kandambili 9m.
 
Hivi unaujua mchanganuo wa zawadi za kill lager mtani jembe wewe?au unafurahisha genge tu hapa na kujifariji kwa ushindi wa uwanjani?
Zile mil 100 zinagawanywa hivi,mil 80 zinatoka kwa mashabiki wa timu husika wanaokunywa kill kwa wingi,sasa hapa ndipo tunapowazidi kete maana Yanga tupo wengi na pesa ipo.Watu wanakunywa kill kwa wingi hadi mil 80 wanachukua Yanga sc sio nyie mnaojifariji kwa ushindi wa uwanjani wa mil 20.
Hata hivyo hamuwezi kuchukua hizo mil 80 maana nyie mikia ni wachovu mnaoshindia viroba hapo msimbazi..teh teh teh....
Kwa uzi wako huu nimebaini naongea na mtu wa aina gani, nilidhani naongea na mtu anayejua soka, mwenye kujibu hoja kwa data hata kama zinakera lakini ni kweli zipo lakini kumbe napoteza muda na Kihiyo kabisaaaa.

Kwa hiyo unamaanisha mwaka 2014 yanga ilipata milioni 80 za kilimanjaro lager kupitia kunywa bia au siyo?
 
Matokeo Rasmi Ya Mtani Jembe 2:

Uwanjani:
Simba Sc 15m Kandambili 5m.

Kwenye Bar:
Simba Sc 71m Kandambili 9m.

Afadhali umemjibu wewe mkuu, bila shaka angekuwa anatumia kinywaji cha bia sehemu zenye hadhi kila siku Tv zilikuwa zinaonesha matokeo lakini pombe chafu anazokunywa vichochoroni kule hata redio hakuna ni makelele ya walevi tu
 
kumbe upo, kati ya hoja nyingi humu umeona kidogo hiyo unauweza kwa kutuletea hako kamechi kamoja ka wazee.
Umeambiwa huko mashuleni Yanga wanakalia kila siku, unajua mechi madarasa wewe, ni kila siku wakati wa mapumziko. Hahahahaaaaaaaa.....achana na hizo za mwaka mara moja ulevini huko.
 
Matokeo Rasmi Ya Mtani Jembe 2:

Uwanjani:
Simba Sc 15m Kandambili 5m.

Kwenye Bar:
Simba Sc 71m Kandambili 9m.

Ok,naomba uniwekee na matokeo rasmi ya Mtani Jembe 1.
 
'Simba ni timu ya kawaida sana, ni timu kongwe kwa jina tu, hakuna timu pale, Mtibwa Sugar ndiyo timu inayoongoza ligi hadi sasa, hatujapoteza mechi yoyote, hao Simba tutawafunga tu fainali ya kombe la Mapinduzi' (Thobias Kifaru, kabla ya mechi).

Si unafahamu kilichotokea?

Simba alibeba ndoo ya Mapinduzi Matukufu....
 

Attachments

  • 1421398860135.jpg
    1421398860135.jpg
    12.3 KB · Views: 94
Afadhali umemjibu wewe mkuu, bila shaka angekuwa anatumia kinywaji cha bia sehemu zenye hadhi kila siku Tv zilikuwa zinaonesha matokeo lakini pombe chafu anazokunywa vichochoroni kule hata redio hakuna ni makelele ya walevi tu

Haha haaaa,situmii kilevi chochote kile,nini bia?
Hata hiyo mtani jembe naishabikia tu sababu ya mapenzi yangu kwa Yanga lakini kiukweli sipaswi kabisa kushabikia chochote kinachohusu kilevi,basi tu najitoa fahamu.
 
Wewe mashabiki wa Yanga ndio watoto wa mjini pure,wasomi na watu classic kama hujui.Mashabiki wa simba wengi wao ni mijimama iliyojichokea na wazee,kama vijana wapo basi ni mateja tu.
Hadi sasa siamini kama na wewe best angu geniveros ni shabiki wa mikia!
Roho inaniuma kweli yani kumuona hata Mdakuzi wangu kapotea kwa mikia,nitafanya niwezavyo hadi nimvishe kitu za uzi wa njano na kijani na kadi juu.
Wazee wa kuzimia uwanjani-hii kama sio njaa itakuwa viroba vya manzese.
Wazee wa ushirikina-kuna uzi ulitoa ushahidi wa mambo yote ya kishirikina Yanga imefanya na hamkuujibu. Wote kimya.
Utaahira wa Steve yanga ule ndio usomi, ndio umjini ule.
Jipange kijana urudi tena....
 
Last edited by a moderator:
Wazee wa kuzimia uwanjani-hii kama sio njaa itakuwa viroba vya manzese.
Wazee wa ushirikina-kuna uzi ulitoa ushahidi wa mambo yote ya kishirikina Yanga imefanya na hamkuujibu. Wote kimya.
Utaahira wa Steve yanga ule ndio usomi, ndio umjini ule.
Jipange kijana urudi tena....

Teh teh....katika mashabiki wote usinitajie huyo steve kabisa,ni mjinga mjinga flani tu aliyetaka umaarufu kupitia club maarufu Yanga SC.Sasa hivi yuko Azam,so ni Steve Azam.
Hayo mengine ni blah blah za wana msimbazi za kujifariji tumeshazizoea.Binafsi siamini katika ushirikina,nisingeweza kusema chochote kuhusu hilo.
 
Haha haaaa,situmii kilevi chochote kile,nini bia?
Hata hiyo mtani jembe naishabikia tu sababu ya mapenzi yangu kwa Yanga lakini kiukweli sipaswi kabisa kushabikia chochote kinachohusu kilevi,basi tu najitoa fahamu.
Kwa kuwa umekiri hilo nimekusamehe bure. Ushauri wa bure kwako, at least muulize kwanza Makoye matale kabla ya kuongea mbele ya wanaofahamu soka mpwa.
Siuliona katka hoja yako ile hata Makoye alikaa kimyaa....
 
Teh teh....katika mashabiki wote usinitajie huyo steve kabisa,ni mjinga mjinga flani tu aliyetaka umaarufu kupitia club maarufu Yanga SC.Sasa hivi yuko Azam,so ni Steve Azam.
Hayo mengine ni blah blah za wana msimbazi za kujifariji tumeshazizoea.Binafsi siamini katika ushirikina,nisingeweza kusema chochote kuhusu hilo.

Hata kama humtaki Steve Yanga ni wewe, ndiyo anaakisi jinsi mashabiki wa Yanga mlivyo.
 
Teh teh....katika mashabiki wote usinitajie huyo steve kabisa,ni mjinga mjinga flani tu aliyetaka umaarufu kupitia club maarufu Yanga SC.Sasa hivi yuko Azam,so ni Steve Azam.
Hayo mengine ni blah blah za wana msimbazi za kujifariji tumeshazizoea.Binafsi siamini katika ushirikina,nisingeweza kusema chochote kuhusu hilo.

Ni vizuri ukakaa kimya maana ukiongeza neno utaaibisha wenzako tu. Waachie wenyewe
Na wale washabiki wenye vifafa vya kuzima uwanjani kila mkitandikwa na Mnyama wote wamehamia Azam au siyo?
 
Ni vizuri ukakaa kimya maana ukiongeza neno utaaibisha wenzako tu. Waachie wenyewe
Na wale washabiki wenye vifafa vya kuzima uwanjani kila mkitandikwa na Mnyama wote wamehamia Azam au siyo?

Hata kama humtaki Steve Yanga ni wewe, ndiyo anaakisi jinsi mashabiki wa Yanga mlivyo.

Kwa kuwa umekiri hilo nimekusamehe bure. Ushauri wa bure kwako, at least muulize kwanza Makoye matale kabla ya kuongea mbele ya wanaofahamu soka mpwa.
Siuliona katka hoja yako ile hata Makoye alikaa kimyaa....

Good day.
 
Matokeo Rasmi Ya Mtani Jembe 2:

Uwanjani:
Simba Sc 15m Kandambili 5m.

Kwenye Bar:
Simba Sc 71m Kandambili 9m.
Mkuu hapo kwenye kufungua vizibo naona umemwongezea zaidi ya milion 6 na nusu, kiukweli Simba walipata Tsh 77,590,000. Hivyo jumla Simba walikunja zaidi ya milioni 92 na Yanga walipata chini ya milion 8.
 
Back
Top Bottom