Faida za Windows phones

Faida za Windows phones

Nina nokia lumia 930 sasa nataka kubadili mpangilio wa apps zang katika homescreen nifanyeje

Bonyeza tile moja kwa nguvu then drag mahala unapotaka,

Unaweza kuiresize kuifanya kubwa au ndogo.

Nenda setting then start and theme ukachague rangi, wingi WA tiles na background pic
 
Bonyeza tile moja kwa nguvu then drag mahala unapotaka,

Unaweza kuiresize kuifanya kubwa au ndogo.

Nenda setting then start and theme ukachague rangi, wingi WA tiles na background pic

Windows phone ya mwaka huu una tetesi nayo?
 
Nikimaanisha flagship ya mwaka huu ya windows phone

flagship kuna rumors za lumia 940 na lumia 940xl ila nothing special just imagine specs za lg g4 au htc m9 then ongeza iris scanner then basi
 
flagship kuna rumors za lumia 940 na lumia 940xl ila nothing special just imagine specs za lg g4 au htc m9 then ongeza iris scanner then basi

Sawa mkuu...
Naona kama hawa jamaa hawapo serious kwenye kutengeneza flagship ya maana
 
Sawa mkuu...
Naona kama hawa jamaa hawapo serious kwenye kutengeneza flagship ya maana

wakati lumia 920 inatoka ilikuwa na mambo zaidi ya 10 ambayo yalikuwa hayapatikani simu yoyote, ndio maana watu waliinunua sana ndio flagship pekee ya wp yenye mafanikio. hata 1520 haikuwa mbaya sana ilikuwa na vitu vyake unique.

ila sasa hivi microsoft anachojali yeye ni kuweka specification kubwa tu, mwisho wa siku simu inakuwa kama ya android tu bila kitu cha kuvutia.

lets hope hizo simu zina vitu vizuri zaidi ya hivyo vilivyoleak
 
wakati lumia 920 inatoka ilikuwa na mambo zaidi ya 10 ambayo yalikuwa hayapatikani simu yoyote, ndio maana watu waliinunua sana ndio flagship pekee ya wp yenye mafanikio. hata 1520 haikuwa mbaya sana ilikuwa na vitu vyake unique.

ila sasa hivi microsoft anachojali yeye ni kuweka specification kubwa tu, mwisho wa siku simu inakuwa kama ya android tu bila kitu cha kuvutia.

lets hope hizo simu zina vitu vizuri zaidi ya hivyo vilivyoleak

Mimi ni mpenzi wa Nokia sana..

Nimekuwa natumia bidhaa zao toka walivyokuwa Symbian...

Simu yangu ya mwisho kutumia ilikuwa Lumia 620...

Nimehama hii platform kwasababu sipati kile ninachotaka...

Nadhani Nokia wakivunja mkataba na MSFT wataleta kitu roho inapenda...
 
hebu nitajieni simu za window phone nyingine mie najua za lumia tu
 
nenda store download tapatalk then ifungue halafu search jamiiforums, then tumia hio app ni kama ya jf tu

Shukrani sana mdau. Swali la nyongeza mkuu, hivi kuna huduma ya kurecycle simu ya nokia/WP iliyoharibika kwa hapa Dar? Pia naomba unipe direction za medicom ilipo nasikia tu ipo mikocheni nitafurahi nikijua exact location. Thanks!
 
ziko poa sana naamini hata mm nina kalumia 620 nakapena sana ila hakawezi kutuma audio files kwa wassp vngnevyo ziko poa saanna kinoma noma
 
Mimi ni mpenzi wa Nokia sana..

Nimekuwa natumia bidhaa zao toka walivyokuwa Symbian...

Simu yangu ya mwisho kutumia ilikuwa Lumia 620...

Nimehama hii platform kwasababu sipati kile ninachotaka...

Nadhani Nokia wakivunja mkataba na MSFT wataleta kitu roho inapenda...

kuanzia january 2016 nokia anatoa simu zake, mkataba unaisha december mwaka huu. sema yeye atakuwa anadesign tu simu watatengeneza wengine na kusupply wengine
 
ziko poa sana naamini hata mm nina kalumia 620 nakapena sana ila hakawezi kutuma audio files kwa wassp vngnevyo ziko poa saanna kinoma noma

lumia 620 ni best low end ever made, ina premium features nyingi sana.

kutuma audio whatsapp utahitajika uirename hio audio kama .mp4

nenda store download files halafu fungua ingia kwenye folder ilipo audio yako then irename iwe mp4 (audio.mp4 unachange format) then share hio audio na whatsapp
 
lumia 620 ni best low end ever made, ina premium features nyingi sana.



kutuma audio whatsapp utahitajika uirename hio audio kama .mp4



nenda store download files halafu fungua ingia kwenye folder ilipo audio yako then irename iwe mp4 (audio.mp4 unachange format) then share hio audio na whatsapp


mkuu na audio ambazo unatumiwa whatsapp zinakaa sehem gan
maana hilo ndo tatizo sugu kwang
 
mkuu na audio ambazo unatumiwa whatsapp zinakaa sehem gan
maana hilo ndo tatizo sugu kwang

vitu vyote unavyotumiwa whatsapp vinakaa folder la pictures, either kwenye memory card au phone memory. hope una file manager ifungue then nenda folder la pictures ndani utakuta mafolder kama whatsapp, camera roll, screenshot na saved picture angali kwenye whatsapp au hayo mengine utakuta humo ndani
 
Back
Top Bottom