Faida za Windows phones

Faida za Windows phones

Hapa natumia Lumia 1520 window 10 preview sio mchezo na wiki ijayo tutapata update nyengine amabayo itakuwa ina uwezo wa kutumia wireless keyboard na mouse. Na utakuwa na uwezo wa kutumia office Kama una laptop. Duh hawa jamaa ni nouma


Mkuu hapa nina lumia 820, nimedownload miziki nifanyeje ili miziki niione kwenye memory card sasa hivi siioni kwenye memory?
 
Mkuu hapa nina lumia 820, nimedownload miziki nifanyeje ili miziki niione kwenye memory card sasa hivi siioni kwenye memory?

1. Umesha update kwenda windows phone 8.1?

2. Umedownload na nini na umesave wapi?
 
Mm nina cm ya android Vodafone 785,naomba kujuzwa maana na kazi ya neno root(kuroot)
 
1. Umesha update kwenda windows phone 8.1?



2. Umedownload na nini na umesave wapi?


mimi ipo updated 8.1, nilitumia Tube Pro kudownload video sasa haipo kwny SD card kuplay mpaka nifungue Tube Pro. nifanyaje ili iwe kwny SD card?
 
mimi ipo updated 8.1, nilitumia Tube Pro kudownload video sasa haipo kwny SD card kuplay mpaka nifungue Tube Pro. nifanyaje ili iwe kwny SD card?

nenda store search

tube hd mate

then utaona app ilioandikwa hivyo idownload then ifungue itaload youtube, nenda setting halafu chagua pa kusave video then eka folder la sd card halafu back download video unayotaka itaplay kokote
 
nenda store search

tube hd mate

then utaona app ilioandikwa hivyo idownload then ifungue itaload youtube, nenda setting halafu chagua pa kusave video then eka folder la sd card halafu back download video unayotaka itaplay kokote

Mkuu nikiwa nasubiri Nokia Lumia 640 kuna simu nimeiona vodacom inauzwa 195,000/=, ni Lumia 435.
Vipi kuhusu hii simu??? haitakuwa ndogo kama Lumia 620?? Coz Lumia 620 ilikuwa inanisumbua kwa size yake (ndogo) so katika ku-type ilikuwa inanisumbua. Nataka nianze na hiyo 435. Nini ushauri wako kuhusu hiyo simu??
 
Mkuu nikiwa nasubiri Nokia Lumia 640 kuna simu nimeiona vodacom inauzwa 195,000/=, ni Lumia 435.
Vipi kuhusu hii simu??? haitakuwa ndogo kama Lumia 620?? Coz Lumia 620 ilikuwa inanisumbua kwa size yake (ndogo) so katika ku-type ilikuwa inanisumbua. Nataka nianze na hiyo 435. Nini ushauri wako kuhusu hiyo simu??

Ni kubwa kidogo tu kwa 620. Pengine hata usione tofauti kwa macho.

Kuna 535 ni kubwa na 540 pia imetoka nayo ni kubwa.

Sijui bei za 625 zinaendaje ila nayo ni kubwa kiasi
 
nenda store search



tube hd mate



then utaona app ilioandikwa hivyo idownload then ifungue itaload youtube, nenda setting halafu chagua pa kusave video then eka folder la sd card halafu back download video unayotaka itaplay kokote

yes! nimefanikiwa tena inaoption ya kuchagua quality ya video HQ ya ukweli sana
 
Heshima yako mkuu Chief-Mkwawa ,uliwahi kunipa ushauri mzuri sana kuhusu Lumia 820 nashukuru ilikuwa nzuri na nilishaiuza,sasa kuna mdau mafuriko ya juzi yalimwathiri anataka kuniuzia Lumia 625 kwa Tsh170,000 mkuu hanipigi kweli,ameniachia niingalie naona iko poa sana hasa ktk issue ya charge inakaa zaidi ya saa 14 3g,nachart,kupokea smu na games nacheza,hiyo bei kaka unaionaje na yapi mabaya au mazuri ya hizi Lumia. 625?
 
Last edited by a moderator:
Heshima yako mkuu Chief-Mkwawa ,uliwahi kunipa ushauri mzuri sana kuhusu Lumia 820 nashukuru ilikuwa nzuri na nilishaiuza,sasa kuna mdau mafuriko ya juzi yalimwathiri anataka kuniuzia Lumia 625 kwa Tsh170,000 mkuu hanipigi kweli,ameniachia niingalie naona iko poa sana hasa ktk issue ya charge inakaa zaidi ya saa 14 3g,nachart,kupokea smu na games nacheza,hiyo bei kaka unaionaje na yapi mabaya au mazuri ya hizi Lumia. 625?

Yah lumia 625 inakaa sana na charge ni simu nzuri na kwa 170,000 ni rahisi sana ichukue.

Hio simu ina kioo kikubwa lakini resolution yake ni ndogo hivyo hakitakuwa clear sana hio ndip weakness yake kubwa, apart ya hivyo ni simu nzuri kila idara bila kusahau ina 4g hivyo ukiwa covered na eneo lenye 4g hutapata shida

Ila kumbuka hio simu ina ram 512mb hivyo 820 ni powerfull kuliko hio
 
Last edited by a moderator:
Yah lumia 625 inakaa sana na charge ni simu nzuri na kwa 170,000 ni rahisi sana ichukue.



Hio simu ina kioo kikubwa lakini resolution yake ni ndogo hivyo hakitakuwa clear sana hio ndip weakness yake kubwa, apart ya hivyo ni simu nzuri kila idara bila kusahau ina 4g hivyo ukiwa covered na eneo lenye 4g hutapata shida



Ila kumbuka hio simu ina ram 512mb hivyo 820 ni powerfull kuliko hio


Shukrani mkuu,nitaichukua..kweli Lumia 820 ni nzuri mno ila nilishawishiwa na kiwango kikubwa cha pesa nikaona ina maslahi ya kutosha nikaiachia but kwa hii 625 nimezidi kuzipenda window phones hasa kwenye uhai wa charge.asante sana kwa msaada wako.
 
Kuhusu virus, umenitia hasira simu yangu imekufa kwa ajili ya virus!! Alafu unakuja na maoni yasio na research, ivi uoni kama baada ya kufundishana tunapoteshana?
 
Nina nokia lumia 930 sasa nataka kubadili mpangilio wa apps zang katika homescreen nifanyeje
 
hahahah mi nina iPHONE 4s yangu cina tatizo na mtu.... ila windows phone not much serious like that....
 
Have you guys tried HTC ONE M7? ANDROID NI KILA KITU, 32GB INTERNAL MEMORY, 2 GB RAM, WIRELESS HAUHITAJI MODERM UNASHARE NA LAPTOP NET
 
Back
Top Bottom