Mad Scientist
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 215
- 77
Baada ya pita pita zangu katika forum yetu ya Tech, Gadgets & Science nimeona kuna jamaa yangu kajaribu kuelezea faida na hasara za Windows phone. Nami naomba nielezee faida nilizoziona kwa haka kalumia kangu.
1. Windows phone zinakaa na charge kwa muda mrefu zaidi kuzidi za android. Kubali au kataa ila muulize mtu yeyote anaetumia windows phone ataitaja hii kama faida ya kwanza. Ukiwa na windows phone hauitaji power bank wala kaobama kwa ajili ya emergence unapokuwa safarini au TANESCO wanapoamua kufanya wanachoweza.
2. Windows phone haziathiriwi na virus. Simu hizi zipo full protected kwahiyo ukiwa nayo hauitaji kudownload any antivirus wa kununua. Na hakuna antivirus unayoweza kuiweka kwa windowa phone.
3. Apps zilizopo kwenye store ni zile ambazo haziwezi zikaidhuru simu yako kwa namna moja ama nyingine. Hapa kwa wale watundu wa kuroot android phone wananielewa. Kuna baadhi ya apps za android ukikosea tu! Simu unaiweka kwenye droo.
4. Windows phones are user friendly. Ama tunaweza kusema ni rahisi kutumia hasa unapoinunua kwa mara ya kwanza inakuelekeza kwa namna ambayo hata kama hujawahi kutumia smartphone basi utajikuta na wewe ni mtaalam.
5. Windows phone ni imara kwenye kurun apps. Hapa naongelea ubora wa RAM. nilikuwa natumia android ya internal 4GB na RAM 512, sasa nina windows phone yenye internal 4 GB na RAM 512. Lakini nilipata wakati mgumu kucheza games na kurun apps nyingi kwa wakati mmoja. Hivi sasa nina game 6 zenye ukubwa zaidi ya MB 45 kwa kila moja unapodownload na ninazicheza muda wowote ninapotaka bila kukwama na charge inatumika kidogo bila simu kuchemka.
6. Kwa wale wasomi na wanaopenda kusearch basi windows phone zinawafaa kwani search option ipo standby muda wote. Pia unaweza kubadili search engine kwa google au bing.
Zipo faida nyingi sana na kama unazo ziongezee hapo ili wadau wazielewe windows phone. Kwa upande wangu android bye bye
1. Windows phone zinakaa na charge kwa muda mrefu zaidi kuzidi za android. Kubali au kataa ila muulize mtu yeyote anaetumia windows phone ataitaja hii kama faida ya kwanza. Ukiwa na windows phone hauitaji power bank wala kaobama kwa ajili ya emergence unapokuwa safarini au TANESCO wanapoamua kufanya wanachoweza.
2. Windows phone haziathiriwi na virus. Simu hizi zipo full protected kwahiyo ukiwa nayo hauitaji kudownload any antivirus wa kununua. Na hakuna antivirus unayoweza kuiweka kwa windowa phone.
3. Apps zilizopo kwenye store ni zile ambazo haziwezi zikaidhuru simu yako kwa namna moja ama nyingine. Hapa kwa wale watundu wa kuroot android phone wananielewa. Kuna baadhi ya apps za android ukikosea tu! Simu unaiweka kwenye droo.
4. Windows phones are user friendly. Ama tunaweza kusema ni rahisi kutumia hasa unapoinunua kwa mara ya kwanza inakuelekeza kwa namna ambayo hata kama hujawahi kutumia smartphone basi utajikuta na wewe ni mtaalam.
5. Windows phone ni imara kwenye kurun apps. Hapa naongelea ubora wa RAM. nilikuwa natumia android ya internal 4GB na RAM 512, sasa nina windows phone yenye internal 4 GB na RAM 512. Lakini nilipata wakati mgumu kucheza games na kurun apps nyingi kwa wakati mmoja. Hivi sasa nina game 6 zenye ukubwa zaidi ya MB 45 kwa kila moja unapodownload na ninazicheza muda wowote ninapotaka bila kukwama na charge inatumika kidogo bila simu kuchemka.
6. Kwa wale wasomi na wanaopenda kusearch basi windows phone zinawafaa kwani search option ipo standby muda wote. Pia unaweza kubadili search engine kwa google au bing.
Zipo faida nyingi sana na kama unazo ziongezee hapo ili wadau wazielewe windows phone. Kwa upande wangu android bye bye