Faida za wenza kuomba pamoja

Faida za wenza kuomba pamoja

Huu ni uzi safi sana.

Unfortunately, me and my wife worship in different denominations. Nimejaribu kwenda kanisani kwake 5-6 times, but hakuwahi kuja kanisani kwangu. Ndoa yetu ina 5 yrs nw ila yeye amewahi kusali kanisani kwangu MARA MOJA TU....!!! Tena baada ya jana yake kugombana sana khs kutokusali pamoja. It hurts me, a lot, na nimeamua kuliacha hilo suala kma lilivyo cz nikikumbuka tulivyogombana wkt wa kulazimishana kwenda kanisan siku ile, ni bora nikaacha.

Ndoa yetu ina mtoto mmoja na mama yke amejitahidi kufanikisha awe anasali nae. Sikuona kma big deal cz I dont think kma iko poa kuanza kugombania mtoto aabudu kanisa gani.

Kuna umuhimu sana kuabudu pamoja before marriage ili kuondoa mambo kma haya. Yanatesa


Pole sana, Je huwezi wewe kwenda kuabudu anakoabudu mkeo? if No ambatana na mkeo msali pamoja. Mwanamke kufwata dini ya mme ni mtazamo tuu uliozoeleka. if Yes, endelea kumuomba Mungu ambadirishe.
 
Sio kwenda tu mkuu hata mtakapotumia muda hata wa dakika 5 kusali pamoja mkiwa chumbani ama sehem tulivu mkiwa peke yenu
Kiongozi, unakazania sana kusali mkiwa chumbani au na wewe unataka muanze kunena kwa lugha
 
Kiongozi, unakazania sana kusali mkiwa chumbani au na wewe unataka muanze kunena kwa lugha
Hahahaha...basi sitting room!
ila my point ni sehem tulivu ili mioyo yenu izungumze zaidi na Mungu asimame katikati yenu
 
Huu ni uzi safi sana.

Unfortunately, me and my wife worship in different denominations. Nimejaribu kwenda kanisani kwake 5-6 times, but hakuwahi kuja kanisani kwangu. Ndoa yetu ina 5 yrs nw ila yeye amewahi kusali kanisani kwangu MARA MOJA TU....!!! Tena baada ya jana yake kugombana sana khs kutokusali pamoja. It hurts me, a lot, na nimeamua kuliacha hilo suala kma lilivyo cz nikikumbuka tulivyogombana wkt wa kulazimishana kwenda kanisan siku ile, ni bora nikaacha.

Ndoa yetu ina mtoto mmoja na mama yke amejitahidi kufanikisha awe anasali nae. Sikuona kma big deal cz I dont think kma iko poa kuanza kugombania mtoto aabudu kanisa gani.

Kuna umuhimu sana kuabudu pamoja before marriage ili kuondoa mambo kma haya. Yanatesa

Ninachoweza sema ndugu, jaribu kuwa na vipindi vya kuabudu kila siku jioni haijalishi ni kanisa tofauti japo wote mnaamini katika Kristo. Ilinipa shida mimi pia mwanzo tupo kwenye uhusiano, lakini nilipoanzisha vipindi vya usiku nyumbani imenifanya sasa hivi naishi kwa furaha zaidi. Maana wakati mwingine ukitaka kufanya jambo tofauti unajikuta moyo unakukumbusha kitu fulani umejifunza usiku na hata asubuhi ninapoondoka kwenda kwenye kutafuta mkate ile sala ya asubuhi inakupa ulinzi mzuri na amani zaidi. Kuna vitabu huwa vinauzwa vyenye masomo ya biblia kila siku na ufafanuzi wake kidogo. Naamini ndugu kitaleta msaada kidogo. Ila usife moyo suala la kwenda kanisani wote pamoja kwanza simamia ibada za nyumbani. Ni hayo tu.
 
Ninachoweza sema ndugu, jaribu kuwa na vipindi vya kuabudu kila siku jioni haijalishi ni kanisa tofauti japo wote mnaamini katika Kristo. Ilinipa shida mimi pia mwanzo tupo kwenye uhusiano, lakini nilipoanzisha vipindi vya usiku nyumbani imenifanya sasa hivi naishi kwa furaha zaidi. Maana wakati mwingine ukitaka kufanya jambo tofauti unajikuta moyo unakukumbusha kitu fulani umejifunza usiku na hata asubuhi ninapoondoka kwenda kwenye kutafuta mkate ile sala ya asubuhi inakupa ulinzi mzuri na amani zaidi. Kuna vitabu huwa vinauzwa vyenye masomo ya biblia kila siku na ufafanuzi wake kidogo. Naamini ndugu kitaleta msaada kidogo. Ila usife moyo suala la kwenda kanisani wote pamoja kwanza simamia ibada za nyumbani. Ni hayo tu.
Mchango mzuri nimeupenda. Asante.
 
Huu ni uzi safi sana.

Unfortunately, me and my wife worship in different denominations. Nimejaribu kwenda kanisani kwake 5-6 times, but hakuwahi kuja kanisani kwangu. Ndoa yetu ina 5 yrs nw ila yeye amewahi kusali kanisani kwangu MARA MOJA TU....!!! Tena baada ya jana yake kugombana sana khs kutokusali pamoja. It hurts me, a lot, na nimeamua kuliacha hilo suala kma lilivyo cz nikikumbuka tulivyogombana wkt wa kulazimishana kwenda kanisan siku ile, ni bora nikaacha.

Ndoa yetu ina mtoto mmoja na mama yke amejitahidi kufanikisha awe anasali nae. Sikuona kma big deal cz I dont think kma iko poa kuanza kugombania mtoto aabudu kanisa gani.

Kuna umuhimu sana kuabudu pamoja before marriage ili kuondoa mambo kma haya. Yanatesa
Pole sana
 
Huu ni uzi safi sana.

Unfortunately, me and my wife worship in different denominations. Nimejaribu kwenda kanisani kwake 5-6 times, but hakuwahi kuja kanisani kwangu. Ndoa yetu ina 5 yrs nw ila yeye amewahi kusali kanisani kwangu MARA MOJA TU....!!! Tena baada ya jana yake kugombana sana khs kutokusali pamoja. It hurts me, a lot, na nimeamua kuliacha hilo suala kma lilivyo cz nikikumbuka tulivyogombana wkt wa kulazimishana kwenda kanisan siku ile, ni bora nikaacha.

Ndoa yetu ina mtoto mmoja na mama yke amejitahidi kufanikisha awe anasali nae. Sikuona kma big deal cz I dont think kma iko poa kuanza kugombania mtoto aabudu kanisa gani.

Kuna umuhimu sana kuabudu pamoja before marriage ili kuondoa mambo kma haya. Yanatesa
Duh, ni kweli mkuu. Ukikuta watu wameoaona wakiwa imani tofauti na wanaishi pamoja kwa amani bad mara nyingi wengi huwa wapagani/wasiopenda kwenda kanisani.
 
Kama wote mnaabudu na kuamini Mungu mmoja sioni shida ya nyie kutosali pamoja. Anzisha utaratibu wa kuomba pamoja nyumbani sio kuongozana mguu kwa mguu kanisani. Anza asubuhi mnapoamka mwambie mke wangu njoo tuombe mtaendelea hivyo na mtabarikiwa.
Ibada za nyumbani ni njema sana kuijenga nyumba, lakini ibaada za kanisani pia ni njema kukuza mke na mume kiroho maana wote wanakua wakinia mamoja.

Wote tunamwamini Mungu lakini kwa namna tofauti, na hizo namna tofauti ndo huleta sana tofauti ktk ndoa hasa baada ya kuwa na watoto maana Mungu anahitaji mtoto akue kimwili na kiroho, hapo ndipo suala la mtoto asali kwa nani linakua ni kazi kubwa matokeo yake amani itaanza kupungua ktk nyumba.
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    20.6 KB · Views: 33
  • 2016-12-05-00-03-52-569138754.jpg
    2016-12-05-00-03-52-569138754.jpg
    16.4 KB · Views: 31

Similar Discussions

Back
Top Bottom