BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,341
- Thread starter
- #21
Ulitakiwa uone hil mapema kabla ya ndoa.anyway mkabidhi kwa bwana huyu mkeo atanyooka tu.na usumbufu ataacha.mke lazima amfuate mume wake atatimiza VIP ndoto zako au maono..ila issue za imani,dini zinasumbua sanaHuu ni uzi safi sana.
Unfortunately, me and my wife worship in different denominations. Nimejaribu kwenda kanisani kwake 5-6 times, but hakuwahi kuja kanisani kwangu. Ndoa yetu ina 5 yrs nw ila yeye amewahi kusali kanisani kwangu MARA MOJA TU....!!! Tena baada ya jana yake kugombana sana khs kutokusali pamoja. It hurts me, a lot, na nimeamua kuliacha hilo suala kma lilivyo cz nikikumbuka tulivyogombana wkt wa kulazimishana kwenda kanisan siku ile, ni bora nikaacha.
Ndoa yetu ina mtoto mmoja na mama yke amejitahidi kufanikisha awe anasali nae. Sikuona kma big deal cz I dont think kma iko poa kuanza kugombania mtoto aabudu kanisa gani.
Kuna umuhimu sana kuabudu pamoja before marriage ili kuondoa mambo kma haya. Yanatesa
Usiache kufanya hivosafi sana na inapendeza
Mkimaliza tu kuomba/kusali, mnaenda kuvaa night dress/nguo za kulalia na kuanza mchakato wa kubanduana.
In that scenario, even the pu!!y tastes awesome![]()
![]()


yes sababu mnakua mmetengeneza bond ya ajab sana..malumbano yanapungua sana kama si kuisha na mnakua na moyo wa kusameehe zaidi, kuondoa pride na kujishusha .so automatically hata kwenye love making mnainjoi hamna mfanoyes sababu mnakua mmetengeneza bond ya ajab sana..malumbano yanapungua sana kama si kuisha na mnakua na moyo wa kusameehe zaidi, kuondoa pride na kujishusha .so automatically hata kwenye love making mnainjoi hamna mfano
waoooohh!Usiache kufanya hivo
Mkimaliza tu kuomba/kusali, mnaenda kuvaa night dress/nguo za kulalia na kuanza mchakato wa kubanduana.
In that scenario, even the pu!!y tastes awesome![]()
![]()
unacheka nn?
Nimefurah ulivofurahiunacheka nn?
Ngoja nipite tu maana ata wa kusingizia sina
Huu ni uzi safi sana.
Unfortunately, me and my wife worship in different denominations. Nimejaribu kwenda kanisani kwake 5-6 times, but hakuwahi kuja kanisani kwangu. Ndoa yetu ina 5 yrs nw ila yeye amewahi kusali kanisani kwangu MARA MOJA TU....!!! Tena baada ya jana yake kugombana sana khs kutokusali pamoja. It hurts me, a lot, na nimeamua kuliacha hilo suala kma lilivyo cz nikikumbuka tulivyogombana wkt wa kulazimishana kwenda kanisan siku ile, ni bora nikaacha.
Ndoa yetu ina mtoto mmoja na mama yke amejitahidi kufanikisha awe anasali nae. Sikuona kma big deal cz I dont think kma iko poa kuanza kugombania mtoto aabudu kanisa gani.
Kuna umuhimu sana kuabudu pamoja before marriage ili kuondoa mambo kma haya. Yanatesa
Nimefurah ulivofurahi
sawaKosa lake wanaita "technical error" teh! Kama ni mtu wa dini na kanisani sana ataumia moyo hadi aombe poo.Kabla ya kufunga ndoa mlikubalianaje? Au hamkuona kama ni issue yenye impact positive or negative katika maisha yenu?
Kosa lake wanaita "technical error" teh! Kama ni mtu wa dini na kanisani sana ataumia moyo hadi aombe poo.
Ni raha sana kwenda church na mwenza wako, inawaweka karibu sana kiroho.
Nice encouragementEndelea tuu kusali usisahau kumkumbuka kwenye sala zako, as she/he anasali for you, then you will be connected na kukutana mapema before you realize it.
Sio kwenda tu mkuu hata mtakapotumia muda hata wa dakika 5 kusali pamoja mkiwa chumbani ama sehem tulivu mkiwa peke yenuKosa lake wanaita "technical error" teh! Kama ni mtu wa dini na kanisani sana ataumia moyo hadi aombe poo.
Ni raha sana kwenda church na mwenza wako, inawaweka karibu sana kiroho.