funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Wadau najua humu kuna wataalam wa kila aina. Je faida ya nyanya chungu kiafya ni zipi, nimetokea kuwa mpenzi sana wa nyanya chungu (zile chungu kabisa) napenda kujua kama zina faida yoyote kiafya.
Nunua nyAnya chungu (za kijani) achana na zile nyeupe, fungu moja linatosha, uSizImenye wala kutoa vikonyo, osha vizuri then chemsha (unaweza kuongeza karoti na hoho kwa ajiri ya radha) usiweke chumvi. Chemsha mpaka ziive kabisa then pakua kula na kunywa juice yake.nusu Saa ni nyingi utaona mambo yake pia ni Afya tosha.
Watu wa Kagera wanajua sana hii kitu japo wanaipenda kama kiungo ktk milo yao na Ndo maana inawafAnye washugurike sana bila ya wao kujua driving force ni nini hahaha
Kama kitendea kazi chako kiko legelege, una mimina vimiminika ndani ya dakika moja, au ukigonga kamoja unalala hadi kesho, basi wee anza kula supu ya nyanya chungu, kama inakushinda basi tengeneza nyanya chungu kama mboga, make sure unagonga kila siku.
Kwa wanawake nyanya chungu zinafanya TUKUYU iwe ya moto, nyevu na tamu. Zinaongeza hamu ya kupiga tukio na pia zinafanya usichoke.