Faida za ngono ni zipi

Hilo jicho duh,mbona ntakua nakiliza kila siku
ili tu........
avatar3710_2.gif

we jamaa hufai kabisa , kila sehemu kwenye mada za mapenzi/ngono lazima uwepo
 
Kaka umenitosa sana! Niko poa kabisa, habari za pande hizo!

Siwezi kukutosa Mkuu! ila wakati mwingine inakuwa ngumu kuwepo hapa kufuatilia mijadala mbali mbali, ila kuanzia sasa ili kukuhakikishia kwamba sijakutosa nitakuwa nafuatilia postings zako hapa jamvini kila hali itakaporuhusu kufanya hivyo. Kipande hii mambo shwari kabisa namshukuru Mwenyezi Mungu.
 
NOT ENOUGH KWELI KNOWLEDGE IS POWER ,,, But hatujifunzi hivyo... kwa siku utume thread mbili zote zinahusu sex, huo mda wa kujifunza hayo unayotaka kujua unauendesha vipi... au ukituma thread huna haja na majibu... Personally nikiona hivi naacha kukuchulia serious na kuaanza kuruka thread zako...

Kama ulivyoiruka hii thread..lol
 
Nataka kujua hivi ngono ina faida gani zaidi ya ule utamu unaosikia wakati unakojoa/kukojolewa na kuzaa. Hivi kuna faida zaidi either kiafya, akili etc.

Nataka kujua ili kama kuna faida extra ili kuwa serious la libeneke.

Thanks

ndiyo maana umeweza kuuliza...uwepo wako duniani na wa wote uwajuao na usiowajua
 
Nataka kujua hivi ngono ina faida gani zaidi ya ule utamu unaosikia wakati unakojoa/kukojolewa na kuzaa. Hivi kuna faida zaidi either kiafya, akili etc.

Nataka kujua ili kama kuna faida extra ili kuwa serious la libeneke.

Thanks

Hivi na huo RED ni raha kumbe? Na msuguano je?
 
Kisayansi ni sawa but tunapokuja kwa habari ya Kimungu tunatenda dhambi tena isiyo ya kwaida.....:mod::mod::mod::mod:
 
Nataka kujua hivi ngono ina faida gani zaidi ya ule utamu unaosikia wakati unakojoa/kukojolewa na kuzaa. Hivi kuna faida zaidi either kiafya, akili etc.

Nataka kujua ili kama kuna faida extra ili kuwa serious la libeneke.

Thanks

Unamaanisha wale wanao ........kwenye NDOMU, wenzao huondoka kapa???????????????
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom