FAIDA ZA KUVAA MIWANI..hehe

serio

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
7,306
4,681
[h=6]katika pitapita za leo nimemkuta muuza miwani pembeni ana bango limeandikwa.. FAIDA ZA KUVAA MIWANI
1.KUFICHA AIBU UKITEMBEA
2.HATA KAMA MBAYA UTAONEKANA MZURI/HB.,
3.USAIDIA KUFICHA WALE WENYE MACHO MABAYA,.
4. USAIDIA KUONEKANA WE MTOTO WA MJINI NA SIO WA KUJA,.KARIBUNI SANA. .

JamanI, so wavaa miwani sifa zenu..
[/h]
 
Usiache kubwa na ya muhimu....Miwani ni kinga ya kupoteza uwezo wa kuona na pia kuongeza nguvu ya kuona....please enhance and protect your vision (eyes)
 
wakongo wa akudo sound na ngwasuma wanavaa sunglases usiku jukwaani! Duh cjui macho ya paka?
 
@obsesd, sina nyama, malalika

ha ha ha,
huwa hamuoni miwani za njano zinavyokuwa?
Full binzari
 
Mimi napenda yenye tinted mtu akikuangalia kwa karibu anajiona sura yake kama imebonyea bonyea na kicha kama kiko dissfiguredl ol
 
kumbe wewe hutumia lenzi mbonyeo nyeusi
mie hutumia lenzi mbinuko ya njano

kombinenga nzuri?

Mimi napenda yenye tinted mtu akikuangalia kwa karibu anajiona sura yake kama imebonyea bonyea na kicha kama kiko dissfiguredl ol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom