Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 12,923
- 32,331
Tuheshimiane Faza.
Labda awe mwanamke wa ngono tu, hizo sifa haziwezi kukufanya ukawa na mke bora ndani ya nyumba yakoUtangulizi.
Hakunaga mwanamke kicheche ambaye siyo mzuri wa umbo, sura na rangi. Ni sifa hizo tatu ndiyo humpa nafasi na fursa ya kuwa kicheche, kwa kuwa anatakwa na kila mwanaume.
Faida za mke kicheche.
1. Anakupa tulizo la moyo hata kwa kumuangalia tu umbo lake na sura yake. Muda wote unatamani uwe nyumbani ama urudi nyumbani mapema ukamtazame.
2. Anakupa burudani 100% ukiwa naye kwenye 6 kwa 6.
3. Anakuongezea kujiamini na kujiona wewe ndiye kidume hasa kwa kumiliki pisi Kali kiasi hicho. Hata kama hakupi unyumba, majirani wanakuona wewe ni kidume kweli kweli.
N.B. Wife materials ni kinyume chake.
Lengo la ndoa ni Kujenga mazingira rafiki watoto kukua, haijalishi mkeo ni GOGO chumbani ila ajenda ni watotoLengo la ndoa ni kukufanya uwe "at home" lkn walio na wife material wako kwenye "house" tu.
Labda mkuu utusadie vigezo vya mke bora. Halafu tuanzie hapoLabda awe mwanamke wa ngono tu, hizo sifa haziwezi kukufanya ukawa na mke bora ndani ya nyumba yako
Imani yako inakuambia nini, jibu linaanzia hapoLabda mkuu utusadie vigezo vya mke bora. Halafu tuanzie hapo
Hata kama mke hatazamiki na hatamanishi freshi tu?Lengo la ndoa ni Kujenga mazingira rafiki watoto kukua, haijalishi mkeo ni GOGO chumbani ila ajenda ni watoto
Rangi nzuri ni ya mtume, zilizobakia zote mbaya. Ndiyo maana hakunaga mwanamke anatumia mkorogo ili awe mweusi.Kwani kuna rangi mbaya!?
Mtoto ng'aring'ari (rangi ya mtume)Imani yako inakuambia nini, jibu linaanzia hapo
Imani yako inakuchanganya, lazima uchanganikiwe sana... Mambo ya kuoa na kuolewa tutayaacha hapa hapa DunianiMtoto ng'aring'ari (rangi ya mtume)
Mtoto mashalaa (ana nyashi).
Mtoto shepu ya nguva.
Ndiyo maana moja ya vivutio ktk Quran tukufu ni kwamba wanaume tukienda peponi tutapewa wake 70 kila mmoja waziri kweli kweli.
Mi natafuta Ke weusi kama madini ya rubies, sijawahi na sitawahi kuweweseka na Ke weupe tangu utotoni .Rangi nzuri ni ya mtume, zilizobakia zote mbaya. Ndiyo maana hakunaga mwanamke anatumia mkorogo ili awe mweusi.
Mimi siwezi kukaa na kichecheeDr am 4 real PhD mke kicheche SI ana faida yakuwaletea wagonjwa wa presha eeh
Umevurugwa wewe na vipako wapo weusi wazuri zzuriiiRangi nzuri ni ya mtume, zilizobakia zote mbaya. Ndiyo maana hakunaga mwanamke anatumia mkorogo ili awe mweusi.