Faida za kumkumbatia mumeo/mkeo

Faida za kumkumbatia mumeo/mkeo

Uuh now am missing his big body...sob sob...
 
Tena na azidi kunikumbatia zaidi na zaidi, huku naniile ikinipa raha kunigusa pia na kujikomalia hiyoooooooo.
 
Hahahaaaa! Hilo joto linakotafutwa sasa balaa tupu, ile kitu ilitakiwa iwe na mabega aisee!
Hahaha umenikumbusha story za Prof Mbonile.. sitamsahau.. alikuwa anasema jamaa alikuwa anamuomba binti aingize japo kichwa tu baba yake akamuonya vikali akamuambia 'angalia mwanangu, haina mabega hiyo' ,.... hahahaha
 
Hahaha umenikumbusha story za Prof Mbonile.. sitamsahau.. alikuwa anasema jamaa alikuwa anamuomba binti aingize japo kichwa tu baba yake akamuonya vikali akamuambia 'angalia mwanangu, haina mabega hiyo' ,.... hahahaha
Eti uingize kichwa tu! Hivi na lile joto utaishia kuingiza kichwa tu kweli, ila wajinga nyie, si msemage naomba nikurenge tu basi!
 
Sio lazima and thats what we wr tryna say, ila sasa hawa viumbe bwana!
Teh at your own risk. (Nilikuwa tu nauliza ili nikianza nijue itakuwaje, daddy asije akawa ameshazimia huko kumbe mwanae akhuuuuuu Teh teh)
 
Kichwa chenyewe kinataka kuingia ndani zaidi kipate joto wewe unadhani kitakubali kubaki nje
 
Teh at your own risk. (Nilikuwa tu nauliza ili nikianza nijue itakuwaje, daddy asije akawa ameshazimia huko kumbe mwanae akhuuuuuu Teh teh)
Hahahaa! Unadhani siku hizi hata anakushangaa!! Ila kwa lile vaziletu la kulalia, haituhusu.
 
Hahahaa! Unadhani siku hizi hata anakushangaa!! Ila kwa lile vaziletu la kulalia, haituhusu.
Hahaha mwambie hata asiwaze yani. Lile vazi letu la tracksuit + ile style ya kulala amazing Teh
 
Ila now days watu kutokana na misongo ya mawazo na issues nyingi stress za technology, na uzinzi,kumefanya kupungua saana kwa hilo tendo la kukumbatiana.watu usiku kila MTU ana chat c ajabu na mpenzi mwingine.hatari saana
 
Ila now days watu kutokana na misongo ya mawazo na issues nyingi stress za technology, na uzinzi,kumefanya kupungua saana kwa hilo tendo la kukumbatiana.watu usiku kula MTU ana chat c ajabu na mpenzi mwingine.hatari saana
Ndio urudishe majeshi kwa mkeo.
 
Mimi mke wangu anasema nikimkumbatia hapati usungizi na sasa kaleta toleo jipa kila mtu na shuka yake basi somo hili naishia kuwa mgonjwa mtarajiwa
 
Back
Top Bottom