Faida za kumkumbatia mumeo/mkeo

Faida za kumkumbatia mumeo/mkeo

Haha mzee wa scrub nilikumissije

Unalala kifudifudi, mikono unaiweka chini ya mapaja

😀😀😀😀 Nimecheka sana mascrub hadi hang over imerudi tena, and u are always missed mtoto mzuri. Mimi napenda sana kuchezea mgongo na shingo atakayelala kifudifudi atakakuwa amenisaidia mno
 
😀😀😀😀 Nimecheka sana mascrub hadi hang over imerudi tena, and u are always missed mtoto mzuri. Mimi napenda sana kuchezea mgongo na shingo atakayelala kifudifudi atakakuwa amenisaidia mno
Hahaha basi hii style ya kulala itabidi iwe inabadilika badilika, maana kwa wengine ndo unarahisisha kazi lol.

Hahaha ile scrub sijaisahau bana
 
Ukiwa na baby anayekoroma, afu akukumbatie mmmmh utateseka sanaaa
 
Ukiwa na baby anayekoroma, afu akukumbatie mmmmh utateseka sanaaa
Au awe anajigeuza jeuza mara usiku wa manane unashangaa tako liko usoni afu anajamba kishezi duuuuuh au mguu wake ameuweka mdomoni haaaah
 
Au awe anajigeuza jeuza mara usiku wa manane unashangaa tako liko usoni afu anajamba kishezi duuuuuh au mguu wake ameuweka mdomoni haaaah
Hahahahaaaaa ni sheeeeda. .
 
Hahahahaaaaa ni sheeeeda. .
Wanawake usiku mna mambo sana mm kuna dada nililala naye kwenye msiba maana ilikuwa mixer si unajua misibani afu kijijini hainaga kwa wanaume na wanawake sasa nililala chini nikiwa nimeshaweka vitu vyangu niko vyombo nikajikuta nimelala karibu na demu mmoja hv anamwili mkubwa kdg pombe zilikata ila usiku yule dada aliniwekea mkuu kwenye mb.. Afu akawa anajinyoosha akanisukumia ukutani akiwa amenikanyaga mb.. Nilivumilia tu kiume aiseeee
 
Wanawake usiku mna mambo sana mm kuna dada nililala naye kwenye msiba maana ilikuwa mixer si unajua misibani afu kijijini hainaga kwa wanaume na wanawake sasa nililala chini nikiwa nimeshaweka vitu vyangu niko vyombo nikajikuta nimelala karibu na demu mmoja hv anamwili mkubwa kdg pombe zilikata ila usiku yule dada aliniwekea mkuu kwenye mb.. Afu akawa anajinyoosha akanisukumia ukutani akiwa amenikanyaga mb.. Nilivumilia tu kiume aiseeee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wanawake usiku mna mambo sana mm kuna dada nililala naye kwenye msiba maana ilikuwa mixer si unajua misibani afu kijijini hainaga kwa wanaume na wanawake sasa nililala chini nikiwa nimeshaweka vitu vyangu niko vyombo nikajikuta nimelala karibu na demu mmoja hv anamwili mkubwa kdg pombe zilikata ila usiku yule dada aliniwekea mkuu kwenye mb.. Afu akawa anajinyoosha akanisukumia ukutani akiwa amenikanyaga mb.. Nilivumilia tu kiume aiseeee
Msibani!? Alikupa taabu kweli kweli mpaka "vyombo" kukata.
 
namba 6 ikufijie popote ulipo kipenz changu/(joke)
ukiweza hilo hata tukipiga story mchana baasi sibanduki
 
Back
Top Bottom