Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,053
- 3,268
Mfano kimetokea kitu cha hatari mf Moto au jambazi kavamia nyumba utatokaje nje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
EheeeeeNalalaga uchi kipindi cha joto na nikiwa peke angu.
Ndo mana mashine yangu ipo imara kama simba
Uamshwe na mrembo harafu uanze kusumbuka na kuvua nguo.Hujanipata bado. Uamshwe na moto uaenze kutafuta nguo 😀


Mtakuwa mnalalwa na akina jini mahaba bure kwa kuendekeza tafti zisizo na maana.. hivi kweli unalala uchi ucku kucha bila kuwa na mtu wa kukufanya ulalale hivyo mke/mme ili iweje

