Kua muongona faida za mwanaume kuwa mchepuko ni zipi??
Hakya nani tena [emoji4][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sio kweli
We dada unaakili sana kutambua hilo aisee[emoji120]Ukiwa mchepuko hata siku moja mwanaume hawezi kukuambia hana hela, anajua kesho utapata mwingine. Mambo ya hali mbaya anaambiwa mke nyumbani
Tena mke anaweza kopwa akiba ya ndani (ambayo mara nyingi hairudi) ili mchepuko ulipiwe pango la nyumba.We dada unaakili sana kutambua hilo aisee[emoji120]
Mke atakula kiporo, kimada ale kuku
Ebu sema kwa herufi ndogo (watu wasisikie)Hakya nani tena [emoji4]
hahahaah kweliKua muongo
Masaa yote kichwa kinakua resi
Muda wowote kinanuka home
Jidanganye utakuja kujinyonga mchepuko ni chanzo cha maarifaNakata ujue kuwa na mchepuko si tabia njema wala si sifa nzuri ya kujisifia.
Mtakuwa mnavunja kiapo mlichokila mbele ya kanisa.. ndio maana wanandoa wanaochepuka ndoa zao haziend vizuri kabisa.. ni mikos na balaa
Zilete huku inbox yanguComment zetu sisi tusiochepuka zinakaa humu humu?
Ndo wapi huko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Zilete huku inbox yangu
Hahahahaha umeniwahi mkuuZilete huku inbox yangu
Ndio huku chumbaniNdo wapi huko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Active site huiwezi kuisogelea tena mkuuHahahahaha umeniwahi mkuu
Humu kuna vyumba kumbe?Ndio huku chumbani