FAIDA 7: Mwanamke Kua Mchepuko ( Japo Mara Moja Tu)

FAIDA 7: Mwanamke Kua Mchepuko ( Japo Mara Moja Tu)

Kuna ukweli flanii hivii
Back in the dayss za ujanani
Nlihappen kuwa sidechic wa kigogo mmoja hiviiiiii

Mhh mambo yalikua ni motroo fayaa than i expected...he was very comforting and caring..anachepuka tunakwazana vipi kwa mfano

Bi mjengo alikua mbogoo mnoo i called one day bht mbaya
mi nkapiga kimyaaaa sikutaka laana za mke wa mtu
of cz sikua na shida nae kabisaa wala sikuhitaji mjibu mbovu cz makubaliano na Mumewe yalikua temporary tu
Ilitokea tu jmn cz nmetongozwa na mimi na hadi kukubali ilikua mbinde sana..in short sikupanga wala kuwinda
 
Kuna ukweli flanii hivii
Back in the dayss za ujanani
Nlihappen kuwa sidechic wa kigogo mmoja hiviiiiii

Mhh mambo yalikua ni motroo fayaa than i expected...he was very comforting and caring..anachepuka tunakwazana vipi kwa mfano

Bi mjengo alikua mbogoo mnoo i called one day bht mbaya
mi nkapiga kimyaaaa sikutaka laana za mke wa mtu
of cz sikua na shida nae kabisaa wala sikuhitaji mjibu mbovu cz makubaliano na Mumewe yalikua temporary tu
Ilitokea tu jmn cz nmetongozwa na mimi na hadi kukubali ilikua mbinde sana..in short sikupanga wala kuwinda
Hahaha unaonekana mkweli sana, wengine full kujisifia na kudanganya aisee
 
Hasara japo moja tu ya kuwa na mchepuko kwa mwaname na mwanaume alie kwenye ndoa Takatifu, ni DHAMBI, hakuna dhambi inamuuzi Mungu kama ya uzinzi, maana unauchafua mwili ambao ni Hekalu lake Takatifu.
Ni kweli kabisa. Lakini hata ukifanya na asiye na mke as long as hamjaoana unakuwa unatenda dhambi ile ile
 
Hahaha umenikumbusha miaka ya nyuma kidogo. Mimi siku zote hakuna kitu nilikuwa napinga kama kuwa na mahusiano na mume wa mtu....sasa bwana kuna huyo mkaka/ mbaba tulitokea kuzoeana sana bila kuijielewa nikajikuta nimeingia kwenye mahusiano nae. Aisee huyu mwanaume alikuwa so caring, alikuwa mstaarabu sana na alikuwa na katika kipindi kifupi nilichokuwa nae nilijifunza vitu vingi sana.
His wife is also so nice mpaka leo sielewi kwa nini anahangaika na michepuko.
Siku moja alipata msiba kijijini kwao mimi nilijua ameenda na mkewe maana aliniambia hivyo wakati wa kurudi akawa ananitumia picha nikamuuliza umerudi peke yako akasema ndio basi nikajua mkewe kamwacha kijijini anamalizia matanga....bwana wee nakumbuka kipindi hicho nilikuwa nafanya kazi ya shifti naingia jioni nilivyotoka saa nne nikakuta missed call tatu, kikawaida ilibidi nikaushe hadi kesho ila kwa vile nilijua wife hayupo nikapiga haikupokelewa, akanipigia...nikapokea haloo, sauti ya kike..akaniambia mwenyewe amelala ila nimeona umepiga usiku huu nikajua labda kuna dharula vipi nimuamshe? Nikasema hapana nitaongea nae asubuhi huku mapigo ya moyo yako juu .
Halafu hata hakumwambia kuwa kuna hawara yako alipiga, kesho tumeonana nikamsimulia wacha avunjike mbavu
Ila miaka yote mpaka umri huu sijawahi kukutana na nice guy kama yule, kweli kizuri hakikosi kasoro. Nilivyombambia tuachane alikubali wala hakugomba kuwa nimekula hela zake yeye sijampa ingawa mpaka kesho huwa ananikumbushia eti khantwe sasa hivi tungekuwa na watoto wawili tunatafuta wa tatu
Kuna ukweli flanii hivii
Back in the dayss za ujanani
Nlihappen kuwa sidechic wa kigogo mmoja hiviiiiii

Mhh mambo yalikua ni motroo fayaa than i expected...he was very comforting and caring..anachepuka tunakwazana vipi kwa mfano

Bi mjengo alikua mbogoo mnoo i called one day bht mbaya
mi nkapiga kimyaaaa sikutaka laana za mke wa mtu
of cz sikua na shida nae kabisaa wala sikuhitaji mjibu mbovu cz makubaliano na Mumewe yalikua temporary tu
Ilitokea tu jmn cz nmetongozwa na mimi na hadi kukubali ilikua mbinde sana..in short sikupanga wala kuwinda
 
Hahaha umenikumbusha miaka ya nyuma kidogo. Mimi siku zote hakuna kitu nilikuwa napinga kama kuwa na mahusiano na mume wa mtu....sasa bwana kuna huyo mkaka/ mbaba tulitokea kuzoeana sana bila kuijielewa nikajikuta nimeingia kwenye mahusiano nae. Aisee huyu mwanaume alikuwa so caring, alikuwa mstaarabu sana na alikuwa na katika kipindi kifupi nilichokuwa nae nilijifunza vitu vingi sana.
His wife is also so nice mpaka leo sielewi kwa nini anahangaika na michepuko.
Siku moja alipata msiba kijijini kwao mimi nilijua ameenda na mkewe maana aliniambia hivyo wakati wa kurudi akawa ananitumia picha nikamuuliza umerudi peke yako akasema ndio basi nikajua mkewe kamwacha kijijini anamalizia matanga....bwana wee nakumbuka kipindi hicho nilikuwa nafanya kazi ya shifti naingia jioni nilivyotoka saa nne nikakuta missed call tatu, kikawaida ilibidi nikaushe hadi kesho ila kwa vile nilijua wife hayupo nikapiga haikupokelewa, akanipigia...nikapokea haloo, sauti ya kike..akaniambia mwenyewe amelala ila nimeona umepiga usiku huu nikajua labda kuna dharula vipi nimuamshe? Nikasema hapana nitaongea nae asubuhi huku mapigo ya moyo yako juu .
Halafu hata hakumwambia kuwa kuna hawara yako alipiga, kesho tumeonana nikamsimulia wacha avunjike mbavu
Ila miaka yote mpaka umri huu sijawahi kukutana na nice guy kama yule, kweli kizuri hakikosi kasoro. Nilivyombambia tuachane alikubali wala hakugomba kuwa nimekula hela zake yeye sijampa ingawa mpaka kesho huwa ananikumbushia eti khantwe sasa hivi tungekuwa na watoto wawili tunatafuta wa tatu
Hahaha lol
Maisha safari sanaa
Nlikua napinga mnoo kuwa na mme wa mtu
Kumbe smtimes ni situation tu inatokea wala hata humuwindi mtu wala nini

Ps:nakemea wale wawindaji haramu lol
 
Hahaha lol
Maisha safari sanaa
Nlikua napinga mnoo kuwa na mme wa mtu
Kumbe smtimes ni situation tu inatokea wala hata humuwindi mtu wala nini

Ps:nakemea wale wawindaji haramu lol
Yeah inatokea tena mimi alishawahi kunikutanisha na mkewe (wakati tumeshaachana) kuna kazi alinipa sasa wakati nampelekea akawa yupo na mkewe wana safari zao...moyoni nikasema mmh hivi huyu dada siku anagundua mimi natoka na mumewe atanifanya nini na hivi tayari ananijua
 
Back
Top Bottom